last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,728
- 3,980
Ndugu wana jamii forum,ndugu wana ligi kuu ya uingereza(EPL) na wapenzi wa burudani wote habarini za mihangaiko ya hapa na pale ya maisha.
Nipende kuweka wazi tu kuwa Mimi si mshabiki wa arsenal,ila ni mshabiki wa Chelsea na mpenzi wa ligi kuu ya uingereza(EPL),Kinachonisumbia na kunikereketa ni kuiona arsanal kila Mara ikifanikiwa kuingia katika nne bora ya ligi lakini mwisho wa siku wa nakuja kuboronga mwishoni na kuitia aibu EPL yote,ni kwanini wasibadili mbinu? Mikakati n.k?,Hivi huyo Wenger ananini na arsenal? Kwanini asiondoke? Embu naomba nipewe angalau hata mawili matatu juu ya huyu kiumbe na arsenal kuna nini nyuma ya pazia? Naomba majibu hata kwa tetesi tu kama majibu yalivyo kwa barshyte na mkemia embu nipe na ya huyu kocha,
Nipende kuweka wazi tu kuwa Mimi si mshabiki wa arsenal,ila ni mshabiki wa Chelsea na mpenzi wa ligi kuu ya uingereza(EPL),Kinachonisumbia na kunikereketa ni kuiona arsanal kila Mara ikifanikiwa kuingia katika nne bora ya ligi lakini mwisho wa siku wa nakuja kuboronga mwishoni na kuitia aibu EPL yote,ni kwanini wasibadili mbinu? Mikakati n.k?,Hivi huyo Wenger ananini na arsenal? Kwanini asiondoke? Embu naomba nipewe angalau hata mawili matatu juu ya huyu kiumbe na arsenal kuna nini nyuma ya pazia? Naomba majibu hata kwa tetesi tu kama majibu yalivyo kwa barshyte na mkemia embu nipe na ya huyu kocha,