Tena 8 mbali nafasi ya 4-6 na na angeweza cheza uropa leagueAcha utani ligi kuu ya uingereza Yanga awe nafasi ya 8!? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mpira ni magoli; haijalishi yanapatikanaje.Niwape pongezi wanajangwani.
Ila kwa jicho langu binafsi la tatu hii timu sio bora kivile.
Kwa mfano ikienda kushiriki LigiKUU nchini Uingereza almaarufu kama English Premier League, basi kwa uwezo huu itakuwa inamaliza nafasi kati ya 8 mpaka 13 kila msimu.
Ninashauri maboresho ya umakini yafanyike ili kuifanya wafikie ubora ambao wanaJangwani wanahitaji.
MAKOLO mtaendelea kuweweseka sana tu na YANGA, mpaka akili zikiwakaa sawa [emoji847]Niwape pongezi wanajangwani.
Ila kwa jicho langu binafsi la tatu hii timu sio bora kivile.
Kwa mfano ikienda kushiriki LigiKUU nchini Uingereza almaarufu kama English Premier League, basi kwa uwezo huu itakuwa inamaliza nafasi kati ya 8 mpaka 13 kila msimu.
Ninashauri maboresho ya umakini yafanyike ili kuifanya wafikie ubora ambao wanaJangwani wanahitaji.
[emoji13]Tena 8 mbali nafasi ya 4-6 na na angeweza cheza uropa league
Huku yanga anapigwa kolabo za uchawi ndo maana anasua sua we fikiria urogwe na nyau, urogwe na cost utakuwa na Hali Gani