[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122]Ha ha ha.. Halafu dizaini hiyo kunakuwaga na ndugu zake mwanamke ambao wanakuwa wanachukia sana kitendo cha kumuona mwanaume akila mali za ndugu yao kwa kujifanya ana mahaba.. So ikitokea tu amededi, ndugu wanakuja kwa speed ya ajabu na kukutoa nduki..
Astaafu ?atakula nini,hiyo ndio kazi yake mkuu,atakata mauno hadi kaburini.kumbe bado yuko...nilijua amestaafu kuimba
hawezi kumsema Ali Choki,kama kuondoka wataondoka wote wawili ingawa kwa zamu tofautiAsha baraka kumbe yupo,
heri msingemleta huku yasije mkuta makubwa mama wa watu;
We Me au Ke?.....kama ni Me uende ukapimwe marinda manake hizi ndiyo tabia zaohapana namfahamu choki toka utotoni mwangu wacha kunilazimisha kukubali unachoniambia wakati nimemuona mwenyewe na kuna mtu alimwagia pombe lwiza mbutu akalalama sana n way yeye ni mwanadamu kila mwanadamu ana ups and downs................ kama kachoka sawa tu hata mie na wewe tunaweza kuchoka pia kwani yeye nani mpaka asichoke? mpe pole ukimuona na leo
Ni kweli kabisa...mpaka ujuwe mziki ndiyo utajua hiliHuyu Choki alitembelea nyota ya Banza Stone na huyu Asha Baraka hana lolote na mikorogo yake, wote zilipendwa.
Kachoka kweli mkuuUnapoambiwa kanenepa ndo kuchoka kwenyewe huko mkuu
Alitoka muhimbili?!Wala hatubishani mimi nakueleza tu uhalisia, pita kuanzia SAA 12 jioni utamkuta pale Uhuru Peak Kinondoni utamkuta anakunywa Redbull yake
weee mama unatembea weye mpaka huku,?,,,??Asha baraka kumbe yupo,
heri msingemleta huku yasije mkuta makubwa mama wa watu;
Wanafufukaga hawaKuna siku nilisikia Ali choki amefariki !