Ok mpe pole.H
Ninavyokwambia hivyo Nina uhakika 100%,,huyu mama kwao na kwetu ni jirani kule wilaya ya moshi vijijini,jimbo la vunjo,kata ya makuyuni kitongoji cha saghana,,,yupo hai mpaka Leo,,
Hayupo kule kwasasa,,alihama baada ya kuona watu wanamtenga,,,nitumie FB account yako nikuunganishe na watoto wa kaka zake ambao nimesoma nao shule ya msingi wanaweza kukujuza alipo kwasasaOk mpe pole.
Nimesoma hukumu, alikuwa katika wakati mgumu
Yeye hakuzaa na Mzee haule?Hayupo kule kwasasa,,alihama baada ya kuona watu wanamtenga,,,nitumie FB account yako nikuunganishe na watoto wa kaka zake ambao nimesoma nao shule ya msingi wanaweza kukujuza alipo kwasasa
TumesikiaTOFAUTI YA MWANAMKE NA MWANAUME
MWANAUME AKITEMBEA NA MKE WA MTU ATAHAKIKISHA INAKUWA SIRI KUBWA ILI MUME ASIJUE...
Nina UHAKIKA 100% Huyo mama alifariki kwa kupigwa na mfungwa mwenziwe gerezani.
Huyo Happiness kwenye familia yao wote hawana adabu!nadhan happiness naye hakuwa na akili nzuri. yaani unatembea na mume wa mtu. mwenye mume amekupeleka mpaka polisi. baadaye mnarudi anakushawishi mwende kwake ukale unywe na bia unaoa ni sawa tu. we una akili sawasawa?
Huyo Happiness kwenye familia yao wote hawana adabu! Kuna mdogo wake alimnyang'anya mwalimu wetu aliyetufundisha primary school mume hadi leo wanaishi uke wenza...
Hata simu ya smart hawana. wako huko kwetu kijijini kabisa kabisa wilaya ya Mwanga - Kilimanjaro.Naweza waona kwa picha? Kama wana account insta,fb nitumie inbox nione ni wanawake wa namna gani hao....πππ
Gudume Happyness ndio alimpeleka mke halali wa Dr Hauli polisi hapo ndio ujue alikuwa hazimtoshinadhan happiness naye hakuwa na akili nzuri. yaani unatembea na mume wa mtu. mwenye mume amekupeleka mpaka polisi. baadaye mnarudi anakushawishi mwende kwake ukale unywe na bia unaoa ni sawa tu. we una akili sawasawa?
KESI HAZIWAGA FUPI MKUU !!!!Dah so sad ila ndefu bana