fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Huyu mtangazaji hivi sasa anaendesha kipindi cha ujumbe katika muziki,ana sauti nzuri na anatangaza vizuri na kwa hisia.
Ameanza na wimbo wa sauda aliyepata mimba nje ya ndoa wakati mumewe yuko jamaica,ni wimbo mzuri sana wa juwata.Nampongeza sana
Ameanza na wimbo wa sauda aliyepata mimba nje ya ndoa wakati mumewe yuko jamaica,ni wimbo mzuri sana wa juwata.Nampongeza sana