Ashery Chilewa

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Huyu mtangazaji hivi sasa anaendesha kipindi cha ujumbe katika muziki,ana sauti nzuri na anatangaza vizuri na kwa hisia.

Ameanza na wimbo wa sauda aliyepata mimba nje ya ndoa wakati mumewe yuko jamaica,ni wimbo mzuri sana wa juwata.Nampongeza sana
 
Huyu mtangazaji hivi sasa anaendesha kioindi cha ujumbe katika muziki,ana sauti nzuri na anatangaza vizuri na kwa hisia.Ameanza na wimbo wa sauda aliyepenfa mimba nje ya ndoa wakati mumewe yuko jamaica,ni wimbo mzuri sana wa juwata.Nampongeza sana
kwani ni mwanamke? Mume wa nani aliyeko jamaika?
 
hebu soma vizuri huo uzi kabla hujatoa maoni,ukiuliza kwani ni mwanamke unamaanisha nini?Nani alikuambia mwanaume huwa hana sauti nzuri
aahaaa! Nimeelewa, kumbe ni ujumbe ulioko kwenye wimbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…