Moise Aimar
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 216
- 406
ni shule nzuri sana..mazingira mazuri..yanahamasisha kuxoma..Wadau,
Nna mdogo wangu kapangiwa form 5 hii shule (EGM) kwa anaejua status ya Taaluma ya shule hii anijuze.
Na pia kwa mtu mwenye contact ya Mwalimu/Walimu naomba anisaidie ile niwasiliane nao nipate kujua mahitaji yanayohitajika huko
Ww nawe ni jipu post tangu 2013 unajibu leo huyo kashamaliza six yupo mwaka wa kwanza sasa hiviNina no ya academic teacher njoo nikupe
Ww nawe ni jipu post tangu 2013 unajibu leo huyo kashamaliza six yupo mwaka wa kwanza sasa hivimazingira mazuri asisahau blanketi zito. hakuna haja ya neti kwani hataitumia.
Humu wanapita wengi kama uliyopita wewe na mimi, hivyo taarifa inasambaaWw nawe ni jipu post tangu 2013 unajibu leo huyo kashamaliza six yupo mwaka wa kwanza sasa hivi