ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Pamoja na kundi la upande wa pili jana kusubiria kwa hamu kutwa nzima ya jana eti yanga ingeenda kupoteza mchezo ..hali haikuwa hivyo...yanga kakimbiza mwanzo mwisho. Watu tume enjoy burudani safi ya kandanda..
Umiliki mpira na talents za hali ya juu, tutoe pongezi kwa wachezaji wote benchi la ufundi kwa kutupa raha. Kwa upande wangu nikiri kwa umri wangu tokea nimeanza kuwa na utambuzi wa mambo ya soka sikuwahi kuiona yanga imara na ya kuvutia kiasi hiki!
Hongereni sana wananchi popote pale mlipo...hongereni sana wachezaji na benchi la ufundi.
Hakika Yanga hii tamu jamani.
Umiliki mpira na talents za hali ya juu, tutoe pongezi kwa wachezaji wote benchi la ufundi kwa kutupa raha. Kwa upande wangu nikiri kwa umri wangu tokea nimeanza kuwa na utambuzi wa mambo ya soka sikuwahi kuiona yanga imara na ya kuvutia kiasi hiki!
Hongereni sana wananchi popote pale mlipo...hongereni sana wachezaji na benchi la ufundi.
Hakika Yanga hii tamu jamani.