ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Ndiyo Ukweli WenyeweUto ni TAKATAKA kama takataka nyingine hakuna timu ya kuchukua ubingwa wa NBC PL pale.
Kama tunavosikia upande wa pili vilioSiyo muda mrefu tutaanza kusikia vilio kwa sasa endeleeni kufurahia
Malizeni kufukuzana kwanza, makombe mengine yaandikeni majina kamili ya MakondaHivi ndo Vitu wanamsimbazi Wamekuwa wakiinjoi takribani kipindi cha miaka mitano iliyopita na Ubingwa mara nne mfululizo Wakati huo Wana Yanga mlikuwa Mnafanya Maandamano ya Kwenda 'Airport' Kupokea aidha timu pinzani au Yale Magarasa yenu kipindi kile.
Sasa tunasema welcome to the 'game'.
Msikate Pumzi.
Mudi fc wanatamani kuhamia ligi ya Zanzibar! Maana msimu huu watachezeshwa Ndombolo ya Soro mwanzo mwisho!Yanga ya msimu huu kuna timu zitagoma kuingia uwanjani.
Wanawaza watuibie nan wanaishiwa poziMudi fc wanatamani kuhamia ligi ya Zanzibar! Maana msimu huu watachezeshwa Ndombolo ya Soro mwanzo mwisho!
Yaani Bamutu ba Congo habacheki kabisa na kima! Wapi Papaa Mayele, mutoto ya TChishekedi!! Wapi Papaa Makambo! Papaa Bangala! Papaa Moloko! Papaa Mukoko! na Papaa Mwinyi Zahera Mzee wa 'Boo'!! 😁
Kwahiyo ulitaka Yanga washinde alafu walie ili ufurahi?Mechi 4 kati ya 30 mnaanza kubweka.
Tumechi 4 tu yani 4 tu mnajiona mabingwa hahahhahahaha yaani nawaonea huruma maana mtalia na kusaga meno ubingwa msahauPamoja na kundi la upande wa pili jana kusubiria kwa hamu kutwa nzima ya jana eti yanga ingeenda kupoteza mchezo ..hali haikuwa hivyo...yanga kakimbiza mwanzo mwisho. Watu tume enjoy burudani safi ya kandanda..
Umiliki mpira na talents za hali ya juu, tutoe pongezi kwa wachezaji wote benchi la ufundi kwa kutupa raha. Kwa upande wangu nikiri kwa umri wangu tokea nimeanza kuwa na utambuzi wa mambo ya soka sikuwahi kuiona yanga imara na ya kuvutia kiasi hiki!
Hongereni sana wananchi popote pale mlipo...hongereni sana wachezaji na benchi la ufundi.
Hakika Yanga hii tamu jamani.
Jiandaeni kung'oa viti safari hiiHivi ndo Vitu wanamsimbazi Wamekuwa wakiinjoi takribani kipindi cha miaka mitano iliyopita na Ubingwa mara nne mfululizo Wakati huo Wana Yanga mlikuwa Mnafanya Maandamano ya Kwenda 'Airport' Kupokea aidha timu pinzani au Yale Magarasa yenu kipindi kile.
Sasa tunasema welcome to the 'game'.
Msikate Pumzi.
Kwaninni mnateseka?Ndiyo Ukweli Wenyewe
Lile Ni Genge La Wahuni Wachache Wao Wanaita Team