Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Swahiba naona umecheekaHahaaaa. Ila kweli swahiba.
Swahiba sio kwa kutaka kuvunja mbavu zangu asubuhi hii. Duuh.Swahiba naona umecheeka
Haiwekani mkeo anakupa umbea usiku tena kitandani inamana mwanaume kazi umeishindwa na usubiri tu siku mkeo akupe story za mume mwenzio anaekusaidia kazi
Wavulana hao watajulia wapi hayo mambo wakati siku hizi hawaendi jandoSwahiba sio kwa kutakuvunja mbavu zangu asubuhi hii. Duuh.
Ila kweli swahiba mke na mume wakishapanda kitandani sio sehemu ya maongezi ya kuwazungumzia watu muda ule ni maalum kwa kuliwazana na kutoana uchovu wa kutwa nzima. Hahahaaa.
Hahaaaa. Inabidi wajifunze kutoka kwa wakubwa zao ili kuendelea kulinda uwanaume wao kwa kweli la sivyo huko tunakoelekea itakuwa hatari.Wavulana hao watajulia wapi hayo mambo wakati siku hizi hawaendi jando
Ndo wanaume wa sasa watakao waoa, inabidi muwewabadilisheHahaaaa. Inabidi wajifunze kutoka kwa wakubwa zao ili kuendelea kulinda uwanaume wao kwa kweli la sivyo huko tunakoelekea itakuwa hatari.
Hahahaaa. Sawa swahiba.Ndo wanaume wa sasa watakao waoa, inabidi muwewabadilishe
Mi mzima wa afya swahibaHahahaaa. Sawa swahiba.
Mzima lakini?
Okay swahiba. Uwe na siku njema.Mi mzima wa afya swahiba
Majanga hayoSasa na we mwanaume unatega sikio kusikiliza umbeya kweli
Mawazo ya zamani hayoHata me sipendi mke wangu ajishughulishe yeye akae tu home kila kitu nitaleta mm ndo Mungu anataka hivyo
anhaa kumbe...Poa poaalichopost ndicho anachokiwazia daily
Sion sababu ya mke kujishughulisha kwanza sijakwama kwa kipato haraf ikitikea nimepumzika kwa aman anaweza kusimamia mirad yote kama msimamiz, pili me nikiwa kazin na yeye yupo kazin nani atakaa na watoto kuwapa malezi, kuwasimamia eeeh! Au ndo beki tatu tena katoka kwao na tabia zake awaambukize wanangu, me naamin mama ndo mlezi!Mawazo ya zamani hayo
Poapoa mkuu hamna shidaSion sababu ya mke kujishughulisha kwanza sijakwama kwa kipato haraf ikitikea nimepumzika kwa aman anaweza kusimamia mirad yote kama msimamiz, pili me nikiwa kazin na yeye yupo kazin nani atakaa na watoto kuwapa malezi, kuwasimamia eeeh! Au ndo beki tatu tena katoka kwao na tabia zake awaambukize wanangu, me naamin mama ndo mlezi!