Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Feb 10, 2025 Thread starter #61
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 31,583 Reaction score 92,670 Feb 10, 2025 #62 Huu uzi ungeutafutia kichwa cha habari kizuri zaidi, kuliko hiki cha asili inapochoka kuchokozwa, maana naona vitu vingi vimetelekezwa tu
Huu uzi ungeutafutia kichwa cha habari kizuri zaidi, kuliko hiki cha asili inapochoka kuchokozwa, maana naona vitu vingi vimetelekezwa tu
Tsh JF-Expert Member Joined Aug 26, 2021 Posts 17,022 Reaction score 36,936 Feb 10, 2025 #63 Hii ndo ubaya ubwela sasa. Mbwembwe zooote za binadamu ila asili ikiamua tunafutika kama mbung'o tu.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Feb 18, 2025 Thread starter #64 Bahari haihifadhi uchafu huutapika kwakuwa maji yana uwezo wa kutembea.. Mimi haina uwezo wa kutembea hivyo badala ya kuutema uchafu huuweka kifungoni usiende kuchafua kwingine..
Bahari haihifadhi uchafu huutapika kwakuwa maji yana uwezo wa kutembea.. Mimi haina uwezo wa kutembea hivyo badala ya kuutema uchafu huuweka kifungoni usiende kuchafua kwingine..
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Mar 7, 2025 Thread starter #65
Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 32,406 Reaction score 55,148 Mar 7, 2025 #66 Siku hizi usipokuwa makini utajikuta unaamini AI Hujui lipi ni kweli