Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametamka kwamba asili mia moja ya budget ya mwaka ujao itatengwa kwa ajili ya Utafiti. Ni kipiga hesabu za haraka haraka ni kwamba kama budget ya serikali mwaka ujao wa fedha itakuwa Trillion nne, basi utafiti watapata Billion40. Saa hivi wanapata pesa isiyozidi Mil.400 kwa mwaka! Na katika hizi ni fedha kidogo sana zinazo wafikia watafiti,tena for maintenance purposes only.Sio kufanya utafiti. Nampongeza sana Kikwete kwa maono haya, kama yatatekelezwa.
Mara nyingi tumesema kwamba utafiti ndio moyo wa nchi,na nchi isiyofanya utafiti, imekufa.Hata hivyo katika kipindi cha kama miaka 20 hivi iliyopita, tulishuhudia developments ambazo zilikuwa hazipendezi hata kidogo. Tanzania sijui ilikumbwa na pepo gani ikadhani kwamba inaweza kufanya utafiti wake kwa kutumia hela za wafadhili, ambao kusema kweli ni matapeli tu.Hawa ajenda yao kubwa ni kuifanya Tanzania iwe tegemezi. Tanzania ina rasilimali nyingi na hakuna sababu yeyote kwa nini itegemee wafadhili kwa utafiti wake.
Katika kipindi hicho cha miaka ishirini katika hali ya kushangaza kabisa, viongozi waandamizi wa serikali, ambao mpaka leo nimeshindwa kuelewa wanatoka sayari gani, ilifika mahali hata wakashawishi watafiti kwamba wao wenyewe waombe mashirika ya nje fedha ili waweza kufanya utafiti, literally making them beggers! Katika hali hii, unategemea nini, kama sio kuwafanya wataalam wako kuwa mamluki? Kwakweli tulidhalilika sana. Wengi bila kujua waliishia ku-save intersts za wafadhili, ambazo ni tofauti kabisa na interests za nchi yetu. Mambo ya ajabu yamefanywa na watafiti katika kipindi hicho cha ujima ili kuganga njaa! Na nchi imeingizwa mkenge katika kiwango cha kutisha sana. Mungu aepushie mbali. Hakuna asiyejua kwamba nia ya nchi za magharibu ni kutufanya tuwe omba omba milele. Anayedhani wazungu wana nia ya kweli ya kutuendeleza is scrap!
Nirudie tena kwa dhati kabisa kumpongeza Kikwete, lakini naomba kutoa words of caution. Bado mafisadi wamejaa kila mahali, na upo mtandao wa Freemasons ambao nia yake ni kuharibu kila lililo jema kwa kuhamasisha maovu, ikiwa ni pamoja na ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma. Siwaogopi ingawa najua wana nguvu nyingi za kishetani na kifedha. Kama tunataka tufanikiwe ni lazima tuutokomeze mtandao huu nchini. Vinginevyo tutakuwa na nia njema kabisa lakini hatutafika popote. Nakumbuka Mwalimu alipiga vita sana mtandao huu, na katika uongozi wake walijichimbia chini. Sasa bila aibu wameibuka na wanafanya kazi zao kwa uwazi kabisa. Wengi tunajua hata ofisi/hekalu lao lilipo sina haya ya kusema.
Pia hatuna budi kuhakikisha kwamba fedha zitakazotengwa kwa ajili ya utafiti zinawafikia walengwa. Mfumo uliopo sasa una kasoro nyingi mno, na kama utaendelea matatizo yatakuwa yale yale.Napenda nitoe ushauri kidogo kama ifuatavyo:
*Mfumo ulioko sasa hautoi nafasi kwa mtafiti kufanya budget ya kazi zake, badala yake hupewa chochote kilichopo! Na mara nyingi hakuna au ni kidogo sana, kwa hiyo hakuna utafiti. Nashauri kila mtafiti afanye budget ya miradi yake na kuitetea katika vikao husika.
*Monitoring and evaluation,kama fedha kweli zitakuwepo, ifanyike vigorously ili kuhakikisha kwamba fedha zilizotengwa zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa.
*Ziwepo checks and balances ili kuhakikisha kwamba hakuna upendeleo wa aina yeyote katika ku-award projects.
*Mazingira ya kufanyia kazi, ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa vitendea kazi kwa watafiti kwa ujumla yaboreshwe. Tusitegemee mtafiti kufanya kazi ya maana bila vifaa na kama ofisi yake na hata nyumbani kwake wakati wa mvua kunavuja, nyumba au ofisi haijapigwa rangi kwa miaka ishirini iliyopita, nyufa zimejaa tele, milango na madirisha vimebomoka nk. Hatuna budi kuboresha mazingira yao ya kufanyia kazi ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa vifaa husika kama tunataka kweli wawe productive in terms of utoaji wa appropriate technologies.
*Mwisho nisisitize kwamba hata kama kungekuwa na fedha ya kufanyia kazi nyingi kiasi gani, na mazingingira mazuri kiasi gani,kama mishahara ya watafiti ni midogo kiasi kwamba hawawezi kutekeleza majukumu yao ya msingi katika familia zao, yote yatakuwa ni bure! Ni vema basi kuwepo kwa fedha ya kufanyia kazi na mazingira mazuri kuende sambamba na uboreshwaji wa maslahi yao.
Mara nyingi tumesema kwamba utafiti ndio moyo wa nchi,na nchi isiyofanya utafiti, imekufa.Hata hivyo katika kipindi cha kama miaka 20 hivi iliyopita, tulishuhudia developments ambazo zilikuwa hazipendezi hata kidogo. Tanzania sijui ilikumbwa na pepo gani ikadhani kwamba inaweza kufanya utafiti wake kwa kutumia hela za wafadhili, ambao kusema kweli ni matapeli tu.Hawa ajenda yao kubwa ni kuifanya Tanzania iwe tegemezi. Tanzania ina rasilimali nyingi na hakuna sababu yeyote kwa nini itegemee wafadhili kwa utafiti wake.
Katika kipindi hicho cha miaka ishirini katika hali ya kushangaza kabisa, viongozi waandamizi wa serikali, ambao mpaka leo nimeshindwa kuelewa wanatoka sayari gani, ilifika mahali hata wakashawishi watafiti kwamba wao wenyewe waombe mashirika ya nje fedha ili waweza kufanya utafiti, literally making them beggers! Katika hali hii, unategemea nini, kama sio kuwafanya wataalam wako kuwa mamluki? Kwakweli tulidhalilika sana. Wengi bila kujua waliishia ku-save intersts za wafadhili, ambazo ni tofauti kabisa na interests za nchi yetu. Mambo ya ajabu yamefanywa na watafiti katika kipindi hicho cha ujima ili kuganga njaa! Na nchi imeingizwa mkenge katika kiwango cha kutisha sana. Mungu aepushie mbali. Hakuna asiyejua kwamba nia ya nchi za magharibu ni kutufanya tuwe omba omba milele. Anayedhani wazungu wana nia ya kweli ya kutuendeleza is scrap!
Nirudie tena kwa dhati kabisa kumpongeza Kikwete, lakini naomba kutoa words of caution. Bado mafisadi wamejaa kila mahali, na upo mtandao wa Freemasons ambao nia yake ni kuharibu kila lililo jema kwa kuhamasisha maovu, ikiwa ni pamoja na ufisadi na matumizi mabaya ya fedha za umma. Siwaogopi ingawa najua wana nguvu nyingi za kishetani na kifedha. Kama tunataka tufanikiwe ni lazima tuutokomeze mtandao huu nchini. Vinginevyo tutakuwa na nia njema kabisa lakini hatutafika popote. Nakumbuka Mwalimu alipiga vita sana mtandao huu, na katika uongozi wake walijichimbia chini. Sasa bila aibu wameibuka na wanafanya kazi zao kwa uwazi kabisa. Wengi tunajua hata ofisi/hekalu lao lilipo sina haya ya kusema.
Pia hatuna budi kuhakikisha kwamba fedha zitakazotengwa kwa ajili ya utafiti zinawafikia walengwa. Mfumo uliopo sasa una kasoro nyingi mno, na kama utaendelea matatizo yatakuwa yale yale.Napenda nitoe ushauri kidogo kama ifuatavyo:
*Mfumo ulioko sasa hautoi nafasi kwa mtafiti kufanya budget ya kazi zake, badala yake hupewa chochote kilichopo! Na mara nyingi hakuna au ni kidogo sana, kwa hiyo hakuna utafiti. Nashauri kila mtafiti afanye budget ya miradi yake na kuitetea katika vikao husika.
*Monitoring and evaluation,kama fedha kweli zitakuwepo, ifanyike vigorously ili kuhakikisha kwamba fedha zilizotengwa zinatumika kwa malengo yaliyokusudiwa.
*Ziwepo checks and balances ili kuhakikisha kwamba hakuna upendeleo wa aina yeyote katika ku-award projects.
*Mazingira ya kufanyia kazi, ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa vitendea kazi kwa watafiti kwa ujumla yaboreshwe. Tusitegemee mtafiti kufanya kazi ya maana bila vifaa na kama ofisi yake na hata nyumbani kwake wakati wa mvua kunavuja, nyumba au ofisi haijapigwa rangi kwa miaka ishirini iliyopita, nyufa zimejaa tele, milango na madirisha vimebomoka nk. Hatuna budi kuboresha mazingira yao ya kufanyia kazi ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa vifaa husika kama tunataka kweli wawe productive in terms of utoaji wa appropriate technologies.
*Mwisho nisisitize kwamba hata kama kungekuwa na fedha ya kufanyia kazi nyingi kiasi gani, na mazingingira mazuri kiasi gani,kama mishahara ya watafiti ni midogo kiasi kwamba hawawezi kutekeleza majukumu yao ya msingi katika familia zao, yote yatakuwa ni bure! Ni vema basi kuwepo kwa fedha ya kufanyia kazi na mazingira mazuri kuende sambamba na uboreshwaji wa maslahi yao.
Last edited: