Asili na mila za mwafrika ni zipi?

Asili na mila za mwafrika ni zipi?

Accumen Mo

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2022
Posts
18,036
Reaction score
39,882
wasalaam ndugu zangu
Niende moja kwa moja kwenye mada :Je, ni ipi asili au mila za mwafrika ? Kumekuwa na maneno utasikia ''sisi tuna mila zetu '' ''Tuna tamaduni zetu kabla ya kuja wakoloni "

Hayo maneno hapo ni ya kinafiki na kipumbavu kabisa ,hakuna mila wala tamaduni za mwafrika kwa sababu mfumo wa maisha ya mwafrika uligubikwa na mabadiliko mbalimbali kadri siku zinevyoenda . Kwa mantiki hiyo, kila mtu atafuata mila na asili kutokana na sehemu ambayo alizaliwa na kukulia , ndio maana hata lugha na tabia anarithi kutokana na eneo husika. Hata hao wazungu hawakuzuka tu na kuwa pale , walipitia stage nyingi sana mpaka kufikia pale.

Kihistoria , mwafrika alipitia maendeleo tofauti wala hakuwahi kubaki sehemu moja milele, alianza kula nyama mbichi mpaka akagundua moto..Mila za muafrika zinategemea amezaliwa katika zama zipi na sio babu zako walikuwaje huko nyuma ...Maendeleo yote duniani hata Afrika kulikuwa n maendeleo ya zana na ujenzi wa vitu mbalimbali .

Huwezi kuongelea eti waafrika tulikuwa na dini au mila zetu ni uongo sio kweli kwa mtu aliyezazaliwa miaka 1900 nina uhakika hajazikuta hizo dini ni uongo , mambo mengi ni nadharia mwafrika aliziacha kwa hiyo usiulize babu zako kwa nn waliziacha ?..Kama ingekuwa ni mila zako wewe ungezikuta tu.

Kijana una miaka 30 unasema sisi Africa tuna mila zetu wakati hata hujui kitu kuhusu hizo mila . je, mila za muafrika ni kula nyama mbichi na kukaa mapangoni ndio umezikuta ? tupunguze unafiki kwamba hatutaki kubadili ni hoja za uongo .

Leo unakuta mtu kavaa suti au shati na suruali anakuambia tulikuwa na mila zetu 😀 😀 si urudi kuvaa nyasi ndio mila zenu ,.

Kama kweli umekuta kwenu wanaabudu mizimu , dawa za mitishamba ni sawa unaweza kufuata ila ni wachache sana ...Wengi hata mila potofu walishazika miaka kibao huko kwa kugundua haifai . leo


Kwa mfano ;Wazazi wako ni wanyakyusa ila umezaliwa na kukulia Dar mpaka umekua mkubwa kabisa , cha kwanza wewe ni mtu wa Dar maana hata lafudhi yako na tabia zitaendana na watu wa Dar .Kule kwa wanyakyusa kunabaki kama asili ila hauna ile hulka ya moja kwa moja kama mnyakyusa , inawezekana hata kuongea kinyakyusa hujui . Inakuwaje unajisifia kuwa wewe asili yako ni fulani ?​
 
Nilidhani andiko lako linahitaji zaidi majibu. Ushauri tuu. Kua Huru kifikra mengi utayatazama ktk ukweli wake.

Kisichokuwepo hakina jina wala wakukizungumia, kinyume na hapo kilikuwepo au kipo.

Usijiumize kichwa kufikiria Dini badala yake fikiria Ibada utajua Mila ni pamoja na nini? Uzifikirie kuhusu mavazi fikiria kuhusu kujisitiri utajua maendeleo ni pamoja na nini?

Mila na Desturi huwa hazipotei ,itsizhi hatz midomoni, kutokuzifuata haina maana zimekufa.

Ni mila gani au desturi gani ya utamaduni wa kabila gan ambayo kwa sasa wameacha kufanya au kuitekeleza.?
 
Tafuta kazi nyie Magaidi.

Dunia nzima inafuata asili na mila ya Mwafrika. Yaani Utamaduni wake.

Wanaokataa ni magaidi tu.
 
wasalaam ndugu zangu
Niende moja kwa moja kwenye mada :Je, ni ipi asili au mila za mwafrika ? Kumekuwa na maneno utasikia ''sisi tuna mila zetu '' ''Tuna tamaduni zetu kabla ya kuja wakoloni "

Hayo maneno hapo ni ya kinafiki na kipumbavu kabisa ,hakuna mila wala tamaduni za mwafrika kwa sababu mfumo wa maisha ya mwafrika uligubikwa na mabadiliko mbalimbali kadri siku zinevyoenda . Kwa mantiki hiyo, kila mtu atafuata mila na asili kutokana na sehemu ambayo alizaliwa na kukulia , ndio maana hata lugha na tabia anarithi kutokana na eneo husika. Hata hao wazungu hawakuzuka tu na kuwa pale , walipitia stage nyingi sana mpaka kufikia pale.

Kihistoria , mwafrika alipitia maendeleo tofauti wala hakuwahi kubaki sehemu moja milele, alianza kula nyama mbichi mpaka akagundua moto..Mila za muafrika zinategemea amezaliwa katika zama zipi na sio babu zako walikuwaje huko nyuma ...Maendeleo yote duniani hata Afrika kulikuwa n maendeleo ya zana na ujenzi wa vitu mbalimbali .

Huwezi kuongelea eti waafrika tulikuwa na dini au mila zetu ni uongo sio kweli kwa mtu aliyezazaliwa miaka 1900 nina uhakika hajazikuta hizo dini ni uongo , mambo mengi ni nadharia mwafrika aliziacha kwa hiyo usiulize babu zako kwa nn waliziacha ?..Kama ingekuwa ni mila zako wewe ungezikuta tu.

Kijana una miaka 30 unasema sisi Africa tuna mila zetu wakati hata hujui kitu kuhusu hizo mila . je, mila za muafrika ni kula nyama mbichi na kukaa mapangoni ndio umezikuta ? tupunguze unafiki kwamba hatutaki kubadili ni hoja za uongo .

Leo unakuta mtu kavaa suti au shati na suruali anakuambia tulikuwa na mila zetu 😀 😀 si urudi kuvaa nyasi ndio mila zenu ,.

Kama kweli umekuta kwenu wanaabudu mizimu , dawa za mitishamba ni sawa unaweza kufuata ila ni wachache sana ...Wengi hata mila potofu walishazika miaka kibao huko kwa kugundua haifai . leo


Kwa mfano ;Wazazi wako ni wanyakyusa ila umezaliwa na kukulia Dar mpaka umekua mkubwa kabisa , cha kwanza wewe ni mtu wa Dar maana hata lafudhi yako na tabia zitaendana na watu wa Dar .Kule kwa wanyakyusa kunabaki kama asili ila hauna ile hulka ya moja kwa moja kama mnyakyusa , inawezekana hata kuongea kinyakyusa hujui . Inakuwaje unajisifia kuwa wewe asili yako ni fulani ?​
Kabila lako ni lipi?
 
Kuna wengine wapo huko Ifakara ndani ndani ila wanajiona ni kama vile wao ni Wayahudi wa Tel Aviv.
Bora hao wako ndani ndani hawa wengine washajiona ni waarabu salam zao,lugha,vyakula,mavazi nk wala hata hawajishtukii!
 
Bora hao wako ndani ndani hawa wengine washajiona ni waarabu salam zao,lugha,vyakula,mavazi nk wala hata hawajishtukii!
Kma ndio tamaduni alipozaliwa kazikuta hizo , muache afuate .
 
Tafuta kazi nyie Magaidi.

Dunia nzima inafuata asili na mila ya Mwafrika. Yaani Utamaduni wake.

Wanaokataa ni magaidi tu.
Ona fala hiLI syllogist ni jina la ukoo upi wa kiafrika ?

Km umezaliwa Mbeya huko basi we ni jambazi maana ndio asili ya majambazi wantatokea huko .
 
Nilidhani andiko lako linahitaji zaidi majibu. Ushauri tuu. Kua Huru kifikra mengi utayatazama ktk ukweli wake.

Kisichokuwepo hakina jina wala wakukizungumia, kinyume na hapo kilikuwepo au kipo.

Usijiumize kichwa kufikiria Dini badala yake fikiria Ibada utajua Mila ni pamoja na nini? Uzifikirie kuhusu mavazi fikiria kuhusu kujisitiri utajua maendeleo ni pamoja na nini?

Mila na Desturi huwa hazipotei ,itsizhi hatz midomoni, kutokuzifuata haina maana zimekufa.

Ni mila gani au desturi gani ya utamaduni wa kabila gan ambayo kwa sasa wameacha kufanya au kuitekeleza.?
Kwa hiyo leo utafuata kipi kutokana na zama ulizozaliwa ? Unaweza kuishi mapangoni kama waafrika wa zamani ?

Unaweza kuvaa ngozi kama watu wa zamani ? Hizo zilishapita sio mila zako , wewe utafuata kutokana na kipindi ulichozaliwa na mazingira husika.
 
Mwafrika hasa Mtanzania hana mila ya pamoja hizo ni propaganda, hata zile za makabila dini zimekuja kuziyeyusha zote..

Mfumo wa kuoana dini zimeubadilisha ni makabila machache yanayofuata mila hizo, maziko pia yanafuatwa kidini na sio kkikabila, sala na matambiko vivyo hivyo, mavazi na muundo wa makazi, malezi na almost kila kitu mtu anafata kile dini imemuamrisha kufanya.

Sasa ni ajabu kusema mna mila zenu sijui zipi hizo.
 
Mwafrika hasa Mtanzania hana mila ya pamoja hizo ni propaganda, hata zile za makabila dini zimekuja kuziyeyusha zote..

Mfumo wa kuoana dini zimeubadilisha ni makabila machache yanayofuata mila hizo, maziko pia yanafuatwa kidini na sio kkikabila, sala na matambiko vivyo hivyo, mavazi na muundo wa makazi, malezi na almost kila kitu mtu anafata kile dini imemuamrisha kufanya.

Sasa ni ajabu kusema mna mila zenu sijui zipi hizo.
Hata mimi nashangaa ! kwa mtu ambaye kazaliwa kakuta mila basi afaute sio tatizo ila sisi wengine hata lugha ya kikabila hatujui , yaani hata kuhudhuria mambo ya kimila hatujui karibia familia nzima .
 
Kwa hiyo leo utafuata kipi kutokana na zama ulizozaliwa ? Unaweza kuishi mapangoni kama waafrika wa zamani ?

Unaweza kuvaa ngozi kama watu wa zamani ? Hizo zilishapita sio mila zako , wewe utafuata kutokana na kipindi ulichozaliwa na mazingira husika.
Uko Sahihi..!!
 
Tatizo linakuja wanawake wenye vimini juu ya magoti au suruali za kubana wanapozuiliwa kuingia ofisi za serikali
 
Tulia ww, kibamia ndo habari ya mjini kwa mabinti wa kileo.

Jiti la kutengua kiuno & uzazi hawana time nalo
 
Back
Top Bottom