Ndio hasahasa nyama za wanaume na za mabinti bikira.. Wanaume alikuwa anachemsha ma.pumbu na mb.o anakula kwa ajili ya kuongeza nguvu za kiume na mabinti bikira alikuwa anakula nyama zao na kunywa damu zao kwa ajili ya kupandisha na kuimarisha nyota yakeNoma sana, ni kweli jamaa alikuwa anakula nyama za watu?
Asante sana mpwaUmesahau kwamba ilikua ni marufuku kuingiza mpenzi kambini so akawa anawatambulisha kama dada
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kubuni mambo unajua jeshi la wakoloni likua je, .....kwahiyo John pombe magufuri.......elikua je akaitwa hivoWengi hawajui kwanini Iddi Amini aliitwa Iddi Amin Dada.
Alipokuwa jeshini alikuwa anabadilisha wanawake kama nguo.
Kila mwanamke alipokuwa akimtembelea Iddi Amini aliwaambia wanajeshi wenzake "Huyu ni Dada yangu" .
Madada walikuwa wengi sana kiasi wanajeshi wenzake na Amini wakampachika jina Dada .
So wakawa wanamuita Iddi Amini Dada
Uongo tu!, hayo ni mambo ya Propaganda.Noma sana, ni kweli jamaa alikuwa anakula nyama za watu?
Nilifika uganda wakati fulani nkawa nauliza hivi ni kweli jamaa alikuwa anakula nyama za watu.Wote wakasema ni propaganda za nyerere Amini alikuwa mtu mzuri tuNoma sana, ni kweli jamaa alikuwa anakula nyama za watu?
Alidanganywa na mganga,ndo ujue mganga ana akili kuliko aliesoma phdNdio hasahasa nyama za wanaume na za mabinti bikira.. Wanaume alikuwa anachemsha ma.pumbu na mb.o anakula kwa ajili ya kuongeza nguvu za kiume na mabinti bikira alikuwa anakula nyama zao na kunywa damu zao kwa ajili ya kupandisha na kuimarisha nyota yake