Asili ya neno SONI au CHIBA

Asili ya neno SONI au CHIBA

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
369
Reaction score
747
Nini asili ya neno Soni au Chiba? kuna wakati mtu mlemavu wa mguu anaitwa majina hayo. Je ni kwa vile tulikuwa na waziri mzungu enzi za Nyerere aliyekuwa mlemavu wa miguu akiitwa Derek Bryson (soni) au ni yule mwigizaji wa kijapani Sonny Chiba.
 
Kwa mujibu wa baadhi ya Watu ni makosa kumkejeli Mr X lakini ni sawa kumkejeli Mr B

Job Ndugai anakejeliwa daily kwa maradhi yake na watu wanakenua tu,…Mzee Ngoyai kakejeliwa sana tu…kutokuwa Mnafiki ni kupinga kejeli bila ya kujalisha anaekejeliwa huwa unakubaliana na misimamo yake U laa
 
Kila mtu ana ulemavu wake.Yawezekana ukaonekana kwa macho au ukawa umejificha ndani.
 
Nadhani wanaokosea na wanaoendelea kukosea sio walioomba masamaha bali wale wanaoendelea kuhusisha jina la mtu (individual na ulemavu fulani)...

Binafsi sikujua hayo majina yanatumika kuita aina ya watu fulani..., In short naona kama ni utoto na bullying ukizingatia issues za kuongelea ni nyingi...

Nadhani busara tungepigia mstari na ku-move on..., Na kosa kubwa hapa nadhani kama jamii hatumtendei wema / haki huyo CHIBA mwenyewe (original) its bullying....
 
Chiba (kwa sababu ya yule aliyekuwa mchezaji wa bendi ya yamoto)
Neno chiba ni la muda mrefu sana hata kabla ya hiyo ya moto band haijaanza!!mala ya kwanza mimi kulisikia ni kwenye miaka ya 2007!!
 
Zito kabwe nimchawi Ila kwa LISu hafikii afanye awezevyo yatakayomkuta ni siri yake
 
Back
Top Bottom