Asili ya siku ya mashujaa ni ipi?

Shekizongoro

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2013
Posts
388
Reaction score
153
Huwa kuna siku ya mashujaa kila tar 25/7. Chanzo chake ni nini? Kwanini ni tar 25/7?

Naomba msaada wenu
 
Hata sielewi hao mashujaa tunaowakumbuka ni wapi hasa,na kama wapo nadhani they fought for nothing maana kama kweli walitoa damu na uhai wao kupigania Nchi hii Tanzania/Tanganyika kweli ilikula kwao,maana kwa hali hii ilivyo bora Mzungu angeendelea kututawala tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…