Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kazi ipo. Mie wa kwangu ni photocopy tupu. sio wa kike wala wa kiume tunafanana balaaa
Wapenda kuhukumu weye!wewe u msafi au?Mimi ndo maana nimeahidi kutokuoa lakini kuwachapa na kuwazalisha nitatekeleza!!-sasa itokee litoto lina miaka 20 halafu kumbe umechakachuliwa (hata ukimbuki ilikuaje) ukijua si utalaani ulimwengu wote!!The world is unfair kwa kweli hatuna tofauti na wanyama binadamu hasa hasa tatizo kama hili mama wa mtoto anahusika 100%hivi anajiteteaje?ikitokea hv?huko kwa Mungu inatakiwa kuwepo moto mkali hata ukikaribia tu unayeyeka ndo staili yao!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Wengi wao inakuwa wanaume hawana uwezo nao ndio hufikia kwenda nje. Wanaume haswaa, wapo wachache sana duniani.
Wapenda kuhukumu weye!wewe u msafi au?
Mwanamme haswa ni nani. Naomba mfano wa mwanamme haswa ili nami nijitafakari niko wapi kati ya hao wanaume.
Umeelewa swali langu?Yupo nn,uliyewahi kumchakachua mzee?sasa si bora ungemwambia tu mapema kuwa huyu sio wako,angelia angenyamaza machungu ilibidi yameshaisha!!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hapa sina tena na wasiwasi kwani nilishapima DNA watoto wangu wote watatu bila ya mke wangu kujuwa. Kwa sasa naishi kwa amani na furaha tele moyoni.
Naona hata hiyo asilimia ni ndogo zaidi.
Mwenye saraba nguvu za miraba saba.
mmmmh, fix tu hizi
unataka kusema walipima upande mmoja na ukawa na
imani 100%, haiwezekani bhana.
Naona hata hiyo asilimia ni ndogo zaidi.
Mkuu Mkereketwa_Huyu wewe ni Mkereketwa_Huyu Je ulisha wahi kupima DNA na baba yako Mzazi? Uamuzi Mzuri kumuacha au unaweza pia usimuache na uka muhudumia huyo mtoto ingawa sio wako Mke wako anaweza kujiuwa ukichukuwa huo uamuzi.
Naona hata hiyo asilimia ni ndogo zaidi.
Ni kawaida ya wanawake duniani kuwasingizia waume zao watoto wa nje ya ndoa ili wapate kulelewa na waume zao watoto wao wa nje BelindaJacobHii statistics inatisha, duuh?!!
Kwani we Mamndenyi una watoto wangapi nje ya ndoa yako au umemsingizia mumeo watoto wa nje wangapi?
Sina shaka nawe, demu mzinzi anajulikana tu kwa kujuwa takwimu/hali halisi. Mumeo umemsingizia watoto wangapi hivi?