Dah, mamie unatisha. Thanks to God I'm NOT married to you, maana dah.....kulea watoto wasio wangu halafu kila kukicha unaniita darling kumbe unanisanifu tu? Kweli bongo ni tambarare.
Samahani kama limekaa kimajungu kwako, ila nimekuuliza tu kutokana na majibu uliyotoa na sikuwa na lingine zaidi ya hapo (majungu). Samahani kama umenihisi vibaya.