Asilimia 52 ya wanaume hapa nchini siyo rijali……….!

matatizo yapo hata mimi na wewe unaenda huko kwa hiyo tutatute dawa au tiba mapema
 
hivi uhanithi na kutokuwa na nguvu za kiume ni sawa??? lol i just think kusema kutokuwa na nguvu za kiume ni heshima zaidi???hilo lingine tumezoea kutukanana mitaani lol
 

Ndugu, ukiona moshi ujue moto upo. Kama dawa za kuongeza nguvu soko lake linaongezeka ujue tatizo lipo.
 

Huu ni upuuzi mtupu! Tafadhali acha kupotosha ndugu. Unajua maana ya "uhanithi" wewe? Nyambaaf!
 
Jitafiti kabla Hujatafitiwa...

Ushauri, Nenda kwa kila mjumbe wa 10 houses, mwabie unahitaji utafiti kwa wanaume wa kila kaya ukiongozana na Walimbwende kadhaa kama testa, plus Lots of Condoms kwa utafiti wako.(kama kupima Ngoma ). natumai utapata jibu, na c porojo hizi..
 

ishu siyo data kazipata wapi ishu ni je ni kweli haya yasemwayo?
binafsi nathibitisha hayo kwani idadi ya watu wanaonunua dawa hizi simba power plus, na za kufanana na hizo ni wengi. kilichonishangaza ni kwamba kwenye yale magazeti ya makorokocho matangazo 20 yanayokuwemo ndani yake basi ni ya dawa hizo sasa je tuseme hazina soko? kama hazina zinawezekanaje kutangazwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…