Asilimia 68 ya wakenya wanahisi kuchanganyikiwa

Asilimia 68 ya wakenya wanahisi kuchanganyikiwa

Magonjwa Mtambuka

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2016
Posts
32,246
Reaction score
31,176
Utafiti pia unaonyesha asilimia 78 ya wakenya wanaona habari za corona zinawatisha na kuwachanganya. Wacha sasa waendelee kujifanya wajanja na vijitakwimu vyao vya kila siku, tuone mwisho wake.

 
Meza wembe, nenda ukumbatie ngurue basi. Kenya inakutatiza kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom