GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
Hili nmekuwa nikilifanyia utafiti kwa miaka isiyopungua 18 sasa. Show me your mother and i will tell you what kind of wife you are.
Asilimiw 80 ya wake tunao oa ni mwakisi wa mama zao.kama mama ya mke wako ni mtu mwema basi kuna uwezekano mkubwa mkeo pia akawa mtu mwema.
Chunguza sana mama mkwe wako ana tabia gani nyumbani na pengine kwa mumewe.
Kama baba mkwe wako ana mchepuko/si michepuko. Anza kujiuliza kwa nini baba mkweo ana mchepuko wa kudumu?acha tabia za wanaume mabaladhuri wenye wana wake wengi.jiulize why baba mkwe wako ana mchepuko mmoja kwa muda mrefu?
1. Mama mkwe mjeuri/mkaidi/kiburi
2. Mama mkwe hana adabu
3. Mama mkwe mkali kwa mumewe
4. Mama mkwe hapendi wageni/mchoyo
5. Mama mkwe hajatulia katika ndoa
Hali kadhalika kama utamkuta mama mkwe ana sifa njema kuna uwezekano mkubwa mkeo akawa na sifa njema pia.
1. Mama mkwe mwenye nidhamu
2. Mama mkwe mwenye adabu
3. Mama mkwe mwenye mpole kwa mumewe
4.Mama mkwe mkarimu/huruma kwa wengine
5. Mama mkwe mwenye utulivu na kuheshimu ndoa.
Mimi binafsi kipindi cha ujana wangu nmejifunza mengi sana kwa mama wakwe.nmeshawahi kuwa na mahusiano na bint na mama yake pia.mama hakuwa na nidhamu obvious hata mtoto wake itakuwa hakuwa na nidhamu
Nmekutana na kesi nying za mama wake single parents na watoto wao wakike kuwa hivyo hivyo. Maji hufuata mkondo.si wakati wote lakini.
Nliwahi kuwa na binti mmoja mjeuri sana mpaka nikahisi yule binti angekuwa mchawi.mzuri lakini mjeuri,mkaidi.nikaanza kuwa karibu na mamaye.nikagundua mama yake alisababisha baba ya bint awe na mchepuko,akaujengea na nyumba sababu ya maudhi ya yule mama.
Lakini pia nmewahi kukutana na mama mkwe mkarimu,mnyenyekevu na nikakuta mtoto wake naye anasifa hizo hizo.mara nyingi watoto hujifunza toka kwa mama asilimia 60-80 na kwa baba asilimia 20-40. Inategemeana sasa na uelewa wa mtoto akichanganya na kile alichojifunza.
Mama ana nafas kubwa sana ya kumfundisha mtoto kuliko baba. Na role model wa kwanza wa mtoto ni mama yake,halafu baba na watu wengine.
Pia nawashuri dada zangu angalieni mama wakwe zenu halafu na waume watarajiwa wenu. Pia si mbaya kuwaangalia baba wakwe zenu kujua utakuwa na mume wa namna gani.si lazima kwa asilimia 100 awe vile.ila kuna mchango mkubwa sana.
Asilimiw 80 ya wake tunao oa ni mwakisi wa mama zao.kama mama ya mke wako ni mtu mwema basi kuna uwezekano mkubwa mkeo pia akawa mtu mwema.
Chunguza sana mama mkwe wako ana tabia gani nyumbani na pengine kwa mumewe.
Kama baba mkwe wako ana mchepuko/si michepuko. Anza kujiuliza kwa nini baba mkweo ana mchepuko wa kudumu?acha tabia za wanaume mabaladhuri wenye wana wake wengi.jiulize why baba mkwe wako ana mchepuko mmoja kwa muda mrefu?
1. Mama mkwe mjeuri/mkaidi/kiburi
2. Mama mkwe hana adabu
3. Mama mkwe mkali kwa mumewe
4. Mama mkwe hapendi wageni/mchoyo
5. Mama mkwe hajatulia katika ndoa
Hali kadhalika kama utamkuta mama mkwe ana sifa njema kuna uwezekano mkubwa mkeo akawa na sifa njema pia.
1. Mama mkwe mwenye nidhamu
2. Mama mkwe mwenye adabu
3. Mama mkwe mwenye mpole kwa mumewe
4.Mama mkwe mkarimu/huruma kwa wengine
5. Mama mkwe mwenye utulivu na kuheshimu ndoa.
Mimi binafsi kipindi cha ujana wangu nmejifunza mengi sana kwa mama wakwe.nmeshawahi kuwa na mahusiano na bint na mama yake pia.mama hakuwa na nidhamu obvious hata mtoto wake itakuwa hakuwa na nidhamu
Nmekutana na kesi nying za mama wake single parents na watoto wao wakike kuwa hivyo hivyo. Maji hufuata mkondo.si wakati wote lakini.
Nliwahi kuwa na binti mmoja mjeuri sana mpaka nikahisi yule binti angekuwa mchawi.mzuri lakini mjeuri,mkaidi.nikaanza kuwa karibu na mamaye.nikagundua mama yake alisababisha baba ya bint awe na mchepuko,akaujengea na nyumba sababu ya maudhi ya yule mama.
Lakini pia nmewahi kukutana na mama mkwe mkarimu,mnyenyekevu na nikakuta mtoto wake naye anasifa hizo hizo.mara nyingi watoto hujifunza toka kwa mama asilimia 60-80 na kwa baba asilimia 20-40. Inategemeana sasa na uelewa wa mtoto akichanganya na kile alichojifunza.
Mama ana nafas kubwa sana ya kumfundisha mtoto kuliko baba. Na role model wa kwanza wa mtoto ni mama yake,halafu baba na watu wengine.
Pia nawashuri dada zangu angalieni mama wakwe zenu halafu na waume watarajiwa wenu. Pia si mbaya kuwaangalia baba wakwe zenu kujua utakuwa na mume wa namna gani.si lazima kwa asilimia 100 awe vile.ila kuna mchango mkubwa sana.