SI KWELI Asilimia 80 ya Watanzania wanaishi na virusi vya UKIMWI

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Hawa watakuwa wamepika data au walichagua skewed data; wizara ikiwafuatilia na kuwataka watoe source ya data zao, wote walioko kwenye vyuo vya marekani watafukuzwa kazi. Labda huyo wa Nigeria ndiye atapona. 80% ya population ya Tanzania ni takriban watu milioni 50; hiyo ni namba kubwa sana.
 
Tumeshindwa kutambulishwa na soka kimataifa.

Hatimae UMEME Also Known As NGWENGWE imetutoa kimasomaso.
 
Hahahahahaaa. I see!

Eti zaidi ya asilimia 80 ya Watanzania wanaishi na HIV, huyu jamaa ashtakiwe.

TISS wanafanya kazi gani? Ashtakiwe huyu mtu atulipe fidia watanzania.
TISS wapo kwa ajili ya CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…