Maji ya Mavi ukiapika vizuri bacteria zote zina kufa, hamna kitu kama hicho cha kula mavi mkuu.Mchicha ndio mboga inayopatikana kwa urahisi Dar. Nyama ya ng'ombe na Samaki ni anasa Dar es salaam.
Mchicha huu unaolika kwa asilimia 100 kila siku unamwagiliwa kwa maji ya mavi kwenye mabonde yote ya Dar es salaam
Upatikanaji wa maji ni shida. Watu wa Dar wengi kama asilimia 95 hawanawi mikono wakitoka kujisaidia. Hii ni kwa sababu maji ni ya shida na ayapatikani.
Mimkoani mbogamboga watu wanajilimia majumbani kwqma 80% na wanatumia maji salama.
Pia maji yanapatikana kwa urahisi japokuwq sio kwa uhakika. Ila sio kama Dar es salaam.
Kila mtu atakubaliana na mimi.
Acha tule Mavi Tu mkuu.Mchicha ndio mboga inayopatikana kwa urahisi Dar. Nyama ya ng'ombe na Samaki ni anasa Dar es salaam.
Mchicha huu unaolika kwa asilimia 100 kila siku unamwagiliwa kwa maji ya mavi kwenye mabonde yote ya Dar es salaam
Upatikanaji wa maji ni shida. Watu wa Dar wengi kama asilimia 95 hawanawi mikono wakitoka kujisaidia. Hii ni kwa sababu maji ni ya shida na ayapatikani.
Mimkoani mbogamboga watu wanajilimia majumbani kwqma 80% na wanatumia maji salama.
Pia maji yanapatikana kwa urahisi japokuwq sio kwa uhakika. Ila sio kama Dar es salaam.
Kila mtu atakubaliana na mimi.
ππππhapo ukute wewe siyo mkazi wa Dar, umeenda kutembea siku moja kwa ndugu yako ukakutana na shida hiyo, ukaja na conclusion πππ