Asilimia kubwa ya wanadamu wanahusika na vifo vyetu

Asilimia kubwa ya wanadamu wanahusika na vifo vyetu

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kuna Mambo mawili unayotakiwa kuyajua rushwa, ma drugs na mabiashara yote haramu yanaendeshwa na watu kuuza mpaka viungo na mauaji yote anayofanya ni mwanadamu. Lengo kubwa ni watu Wapate karatasi inayoitwa hela hivyo unajikuta umetumbukia pabaya. Tunalishwa sumu, makapi, vitu vilivyo expire, madawa mengi n.k

Lazima ufungue jicho lako la tatu watu tumekuwa watumwa wa watu wengine ndo maana mnyama mwenye ile alama ni pesa kapewa mamlaka na binadamu atende ya ajabu eti mpaka kushusha Moto kutoka juu. Chokochoko zimeanza tayari pesa ijionyeshe nguvu zake tutapigwa jamani tutubuni mambo yetu.

Tumrudie mola umaskini kwako iwe ni kama pambo usipende pesa sana ndugu yangu sio nzuri utashindwa kuwa mwema lazima tu utaiba na kusema uongo na Kisha na Kisha. Unapokonywa haki yako tazama waliokufa Wengi hawana haki.

Nawasihi tushirikiane kumsikia Mungu anasemaje tutakuja kuuliwa na mataifa sio wazuri angalieni kwanza vitu walivyotujazia kichwani kutokea mitandaoni.
 
Umasikini sio sifa nzuri mzee na hakuna kaburi la mjinga.
 
Halafu nyinyi matajiri mnapenda kutuasa tumkumbuke Mungu wakati njia zilizobaki za kutajirika ni kumsahau kwa muda.
 
Umasikini sio sifa nzuri mzee na hakuna kaburi la mjinga
Simaanishi umaskini hapana namaanisha kuridhikiwa na chakula chako na mavazi yako then hata ukipata hela sawa ila me mwalimu wangu yesu asiye na kifani amenionya nikiwa tajiri Ni ngumu kuingia ufalme.
 
Halafu nyinyi matajiri mnapenda kutuasa tumkumbuke Mungu wakati njia zilizobaki za kutajirika ni kumsahau kwa muda.
Hata ukipata pesa nyingi tambua tu ukifikisha miaka 40 huko utakuwa na sumu nyingi kifuani kwa sababu hela yako pengine umeipata kwa kufanya mauchafu..ila wako wenye rehema ila Ni wachache mno..una nafasi nzuri ya kuwa na pesa Tena inayotoka katika ufalme au tuseme katika Serikali kuu ya mwenyeziMungu.
 
Hata ukipata pesa nyingi tambua tu ukifikisha miaka 40 huko utakuwa na sumu nyingi kifuani kwa sababu hela yako pengine umeipata kwa kufanya mauchafu..ila wako wenye rehema ila Ni wachache mno..una nafasi nzuri ya kuwa na pesa Tena inayotoka katika ufalme au tuseme katika Serikali kuu ya mwenyeziMungu.
Mshua umewahi kudaiwa bili ya umeme ukajifungia ndani kujifanya haupo? Au kukimbia nyumba kwa muda?
 
Back
Top Bottom