Tman900
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 589
- 1,897
Kwa mfumo wa Maisha ulivyo, Asilimia kubwa ya watu wanaishi ktk Familia ambazo sio zao kama ulivyo msemo wa mtaani " Kwenye familia zenu Kuna watoto watu"
Kiujumla Familia za siku hizi Zina mambo Mengi ya Ajabu, kimya kimya.
Wototo Wengi baba zao, ni utata.
Kiujumla Familia za siku hizi Zina mambo Mengi ya Ajabu, kimya kimya.
Wototo Wengi baba zao, ni utata.