Asionewe AWESO, Wizara/Idara zipi zinafanya vizuri katika utoaji huduma bora kwa watanzania?

Asionewe AWESO, Wizara/Idara zipi zinafanya vizuri katika utoaji huduma bora kwa watanzania?

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Kumekuwa na malalamiko makubwa ya upatukanaji duni wa huduma ya maji hususani katika jiji la Dar es salaam. Watanzania wamekuwa wakimtaka Mh. Aweso aachie ngazi nafasi yake ya uwaziri kwa kuwa wizara imemshinda. Binafsi nimekaa nikajiuliza, tofauti na wizara/idara za kukusanya pesa kutoka kwa wananchi, ni idara/wizara zipi zinatoa huduma katika viwango bora?

Aweso asilaumiwe. Wapo wengi. Jana tu mlimtaka Mh. Masauni ajiuzulu. Bora uzima
 
Kwahiyo kwakua yeye ana perform vibaya aachwe kwa sababu kuna wenzake wapo vibaya kuliko yeye ?

Ni aibu jiji kubwa kama Dar kukosa maji. Viongozi wako waruhusu hata private companies ziuze maji kwa sababu ni wazi wao wameshindwa

Hata mtoto wa form 2 ukimpa hiyo wizara anaweza akafanya mambo mazuri. Dar kukosa maji ni sababu ya uvivu wa viongozi kufikilia
 
Embu kuwa na Huruma na wananchi.

Unataka wafe na kipindupindu? Watu hawaogi, hjawachambi vizuri. Maji shida.

Wakati wa JPM mbona haya yaliisha?
 
Dar kuna huduma mbovu sana , extremely poor water services, maji yanakuja daki 10 hata ndoo moja hayawezi kujaza yana potea hadi kesho yake, wakazi wa Dar wana uvumilivu jamani, mimi siku moja tu jasho lilinitoka, huku jua kali, ukirudi home hakuna maji, yaani sijui serikali inafanya nini hii miaka yote, hakuna quality life in Dar , wakazi wa Dar wanatakiwa waamuke na kuisulubu hii serikali.
 
Kumekuwa na malalamiko makubwa ya upatukanaji duni wa huduma ya maji hususani katika jiji la Dar es salaam. Watanzania wamekuwa wakimtaka Mh. Aweso aachie ngazi nafasi yake ya uwaziri kwa kuwa wizara imemshinda. Binafsi nimekaa nikajiuliza, tofauti na wizara/idara za kukusanya pesa kutoka kwa wananchi, ni idara/wizara zipi zinatoa huduma katika viwango bora?

Aweso asilaumiwe. Wapo wengi. Jana tu mlimtaka Mh. Masauni ajiuzulu. Bora uzima
Hiii haiwezi kuwa justification, kama hawezi basi aondoke, kwani hio wizara ndio mama yake? akiboronga mwingine pia tutasema
 
Back
Top Bottom