LGE2024 ''Asiwe mlevi kupindukia'' Sifa mpya ya wagombea wa CCM Serikali za Mitaa?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Katika sifa za wagombea wa serikali za mitaa, wameongeza sifa moja mpya, eti asiwe mlevi kupindukia, nini kimewafanya CCM kuongeza sifa hii?

Huko vijijini, statehe ya watazania ni pombe, kuna viongozi walikuwa wakija kwenye vikao au mkutanoni wamelewa chakari mpaka mkutano unageuka kituko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…