Asiyeamini hakuna shetani ana shida ya kiakili - Je CCM huioni?

Asiyeamini hakuna shetani ana shida ya kiakili - Je CCM huioni?

Mkwawe

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2016
Posts
3,132
Reaction score
5,508
Inaniwia vigumu sana kuona watu wenye akili ya kawaida kupinga uwepo wa shetani

Ni kama vile unaamini umeme upo, unaamini kitu kinachoitwa data (MB), ila je je ushawahi kuziona mb zenyewe rangi yake? Jibu hapana lakini watu tunaamini zipo.

Sasa mnashindwaje kuamini shetani yupo? MB na umeme tunaamini vipo kutokana na matokeo yake, vivyo hivyo hata shetani yupo kutokana na matokeo yake. Iangalie CCM wako nje kabisa ya misingi ya utu, ubinadamu na ASILI ya wema. Ni kundi kubwa la watu wenye Roho mbaya sana hakuna uchafu na ushenzi katika Dunia hii CCM Haina, of course yes wapo baadhi ni wazuri lakini kwa kuwa wao wapo huko ni waoga na kushindwa kukemea ushetani uliomo nao wao pia wanakuwa mahayawani tu.

Hakuna mtoto anayezaliwa na ubaya watoto wote wanazaliwa na usafi, siku ya kwanza hulia kuashiria uhai lakini baada ya hapo katika makuzi yao hucheka zaidi kuliko kulia. Ila Sasa baada ya kusogea Rika mtoto HUANZA kuwa mbaya na mwenye roho mbaya. Je hii roho huitoa wapi? Huitoa kwa watu ambao mfanano wao ni hawa viongozi wa CCM,

CCM ni mashetani hakika, ni Wananuka dhambi, Wananuka damu, dhulma mauaji

Ooh nimesahau CCM na polisi ni mfano wa shetani, katu mwenye utu wa kawaida huwezi furahia roho ya binadamu mwenzio iwe rehani katu, ni kweli sisi watanzania ni waoga ila hata CCM ni waoga tu na siku isiyo na jina Kuna watu wataomba wafunikwe na milima.
 
CCM ni watu ambao ni watanzania ambao ni waafrika . Waafrika hasa watanzania ni keyboard warriors kama mimi na wewe mtoa maada maneno mengi vitendo hakuna .

Sifa ya pili ni wavivu na wanapenda sana starehe kuliko kazi , Huko CCM kuna hela nyingi kwa hiyo hata wenye akili kidogo kama kina Kafulila wako radhi wakae sehemu wanayoamini ni chafu lakini kuna pesa .

Hakuna shetani hapo ni tabia tu za watanzania ambao ni waafrika pia
 
Inaniwia vigumu sana kuona watu wenye akili ya kawaida kupinga uwepo wa shetani

Ni kama vile unaamini umeme upo, unaamini kitu kinachoitwa data (MB), ila je je ushawahi kuziona mb zenyewe rangi yake? Jibu hapana lakini watu tunaamini zipo.

Sasa mnashindwaje kuamini shetani yupo? MB na umeme tunaamini vipo kutokana na matokeo yake, vivyo hivyo hata shetani yupo kutokana na matokeo yake. Iangalie CCM wako nje kabisa ya misingi ya utu, ubinadamu na ASILI ya wema. Ni kundi kubwa la watu wenye Roho mbaya sana hakuna uchafu na ushenzi katika Dunia hii CCM Haina, of course yes wapo baadhi ni wazuri lakini kwa kuwa wao wapo huko ni waoga na kushindwa kukemea ushetani uliomo nao wao pia wanakuwa mahayawani tu.

Hakuna mtoto anayezaliwa na ubaya watoto wote wanazaliwa na usafi, siku ya kwanza hulia kuashiria uhai lakini baada ya hapo katika makuzi yao hucheka zaidi kuliko kulia. Ila Sasa baada ya kusogea Rika mtoto HUANZA kuwa mbaya na mwenye roho mbaya. Je hii roho huitoa wapi? Huitoa kwa watu ambao mfanano wao ni hawa viongozi wa CCM,

CCM ni mashetani hakika, ni Wananuka dhambi, Wananuka damu, dhulma mauaji

Ooh nimesahau CCM na polisi ni mfano wa shetani, katu mwenye utu wa kawaida huwezi furahia roho ya binadamu mwenzio iwe rehani katu, ni kweli sisi watanzania ni waoga ila hata CCM ni waoga tu na siku isiyo na jina Kuna watu wataomba wafunikwe na milima.
Uko sahihi kwa hiki wanachokifanya sasa kwa kweli CCM ni mashetani.
 
CCM ni watu ambao ni watanzania ambao ni waafrika . Waafrika hasa watanzania ni keyboard warriors kama mimi na wewe mtoa maada maneno mengi vitendo hakuna .
Unapendekeza tufanye nini
Sifa ya pili ni wavivu na wanapenda sana starehe kuliko kazi , Huko CCM kuna hela nyingi kwa hiyo hata wenye akili kidogo kama kina Kafulila wako radhi wakae sehemu wanayoamini ni chafu lakini kuna pesa .
Uvivu na hela nyingi unakuaje pamoja?
Una akili kidogo kwanini ukae sehemu chafu?
Hakuna shetani hapo ni tabia tu za watanzania ambao ni waafrika pia
Shetani yupo
Tabia za mtu sawa, kwanini wao pekee ndo wanyooshewe vidole na watanzania wengi au hao unaowaita waafrika kwa makosa ambayo hata miongoni mwao hukiri ni makosa
Mfano. Sakata la gekul
Sakata la nawanda
ASP fatuma kigondo
Mwenyekiti wa uvccm sijui mkoa gani aliyesema polisi wawapoteze watu wanaokosoa serikali

Kwanini ni wao tu
 
Inaniwia vigumu sana kuona watu wenye akili ya kawaida kupinga uwepo wa shetani

Ni kama vile unaamini umeme upo, unaamini kitu kinachoitwa data (MB), ila je je ushawahi kuziona mb zenyewe rangi yake? Jibu hapana lakini watu tunaamini zipo.

Sasa mnashindwaje kuamini shetani yupo? MB na umeme tunaamini vipo kutokana na matokeo yake, vivyo hivyo hata shetani yupo kutokana na matokeo yake. Iangalie CCM wako nje kabisa ya misingi ya utu, ubinadamu na ASILI ya wema. Ni kundi kubwa la watu wenye Roho mbaya sana hakuna uchafu na ushenzi katika Dunia hii CCM Haina, of course yes wapo baadhi ni wazuri lakini kwa kuwa wao wapo huko ni waoga na kushindwa kukemea ushetani uliomo nao wao pia wanakuwa mahayawani tu.

Hakuna mtoto anayezaliwa na ubaya watoto wote wanazaliwa na usafi, siku ya kwanza hulia kuashiria uhai lakini baada ya hapo katika makuzi yao hucheka zaidi kuliko kulia. Ila Sasa baada ya kusogea Rika mtoto HUANZA kuwa mbaya na mwenye roho mbaya. Je hii roho huitoa wapi? Huitoa kwa watu ambao mfanano wao ni hawa viongozi wa CCM,

CCM ni mashetani hakika, ni Wananuka dhambi, Wananuka damu, dhulma mauaji

Ooh nimesahau CCM na polisi ni mfano wa shetani, katu mwenye utu wa kawaida huwezi furahia roho ya binadamu mwenzio iwe rehani katu, ni kweli sisi watanzania ni waoga ila hata CCM ni waoga tu na siku isiyo na jina Kuna watu wataomba wafunikwe na milima.
Hakika, hao maccm ndiyo mashetani wakubwa hapa nchini

Hivi kama hiki kitendo Cha kuwalundika ndani kina Lissu wakishirikiana na msajili wa vyama, hivi huo siyo uhalifu wa uuwaji??

Halafu Katibu Mkuu wa CCM, anafanya "maigizo" eti anajifanya ametoa amri Kwa Polisi, kuwaachia kina Lissu!

Wakati chama chake ndicho kilichoamrisha, kina Lissu wakamatwe, yeye Katibu Mkuu anafanya maigizo eti kudai kuwa ameamrisha waachiwe!

Hakika nimeamini shetani namba Moja hapa nchini ni chama Cha CCM😎

Watanzania tusipofanya juhudi kubwa ya kuking'oa toka madarakani mwakani, Kwa kutumia sanduku la kura, hakika watanzania tutaendelea kuangamia!😭
 
Hakika, hao maccm ndiyo mashetani wakubwa hapa nchini

Hivi kama hiki kitendo Cha kuwalundika ndani kina Lissu wakidhirikiana na msajiki wa vyama, hivi huo siyo uhalifu wa uuwaji??

Halafu Katibu Mkuu wa CCM, anafanya "maigizo" eti anajifanya ametoa amri Kwa Polisi, kuwaachia kina Lissu

Hakika nimeamini shetani namba Moja hapa nchini ni chama Cha CCM😎
Sababu hasa ni nini kwani
 
Back
Top Bottom