Asiyekuwa raia akiapa anaweza kuwa Rais Tanzania?

Asiyekuwa raia akiapa anaweza kuwa Rais Tanzania?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Ni kweli kuapa kunamtakasa mtu? Je, wateule wanaotumbuliwa hawakuapa kufanyakazi Kwa bidii na uaminifu? Je, mtu akiapa ni lazima aseme ukweli? Je, marais madikteta duniani waliapa kuwa madikteta?

Je, mtu asiyekuwa raia wa Tanzania kama akiapa Kwa dhati kuwa ataiongoza Tanzania Kwa uwaminifu kabisa anaweza kuaminiwa kuwa mgombea wa nafasi hiyo?

Wakurugenzi wakiapa wataendesha na kusimamia Uchaguzi Kwa haki?
 
Naongezea tuu.
?????
Ni kweli kuapa kunamtakasa mtu? Je, wateule wanaotumbuliwa hawakuapa kufanyakazi Kwa bidii na uaminifu? Je, mtu akiapa ni lazima aseme ukweli? Je, marais madikteta duniani waliapa kuwa madikteta?

Je, mtu asiyekuwa raia wa Tanzania kama akiapa Kwa dhati kuwa ataiongoza Tanzania Kwa uwaminifu kabisa anaweza kuaminiwa kuwa mgombea wa nafasi hiyo?

Wakurugenzi wakiapa wataendesha na kusimamia Uchaguzi Kwa haki?
 
Unaapa tu mdomoni, ila moyoni hauapi
 
Mtu ambae kazaliwa na wazazi wote wawili wa Tanzania nje ya mipaka ya Nchi baada ya uhuru hawezi kuwa Raisi wa Tanzania,Awe Na Mzazi mmoja wa Nchi nyingine pia hawezi kuwa Raisi wa Tanzania
 
Back
Top Bottom