Asiyeunga mkono juhudi za tajiri Saidi Lugumi za kuwasaidia watoto yatima hana tofauti na muuaji wa watoto yatima

Asiyeunga mkono juhudi za tajiri Saidi Lugumi za kuwasaidia watoto yatima hana tofauti na muuaji wa watoto yatima

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Tajiri Said Lugumi amewekeza Mabillion ya fedha kusaidia watoto yatima, asiyeunga mkono juhudi zake hana tofauti na muuwaji wa watoto yatima

Tajiti huyu amewezeka fedha nyingi kujenga vituo vya kulelea watoto yatima lakini haishii hapo tu anaenda mbali kwa kuhakikisha watoto hao wanapata elimu bora

Ni muda mwafaka wa matajiri wa Tanzania kuiga mfano kutoka kwa Lugumi kwani kadiri tunavyosaidia watu wasiojiweza ndivyo tunavyozidi kuongezewa

Rai yangu kwa Serikali iendelee kumuunga mkono kwa namna tofauti ikiwemo kumpa wepesi pale anapokuwa akihitaji vibali vya kutimiza malengo yake lakini vilevile iendelee kumpa ulinzi mkubwa kwasababu ana faida kubwa sana ndani ya Taifa la Tanzania

Tazama Video hii
 

Attachments

  • Lugumi_(HD).mp4
    11.9 MB
Tajiri Said Lugumi amewekeza Mabillion ya fedha kusaidia watoto yatima, asiyeunga mkono juhudi zake hana tofauti na muuwaji wa watoto yatima

Tajiti huyu amewezeka fedha nyingi kujenga vituo vya kulelea watoto yatima lakini haishii hapo tu anaenda mbali kwa kuhakikisha watoto hao wanapata elimu

Ni muda mwafaka wa matajiri wa Tanzania kuiga mfano kutoka kwa Lugumi kwani kadiri tunavyosaidia watu wasiojiweza ndivyo tunazidi kuongezewa

Rai yangu kwa Serikali iendelee kumuunga mkono kwa namna tofauti ikiwemo kumpa wepesi pale anapokuwa akihitaji vibali vya kutimiza malengo yake lakini vilevile iendelee kumpa ulinzi mkubwa kwasababu ana faida kubwa sana ndani ya Taifa la Tanzania

Tazama Video hii
........!!! Basisawa..
 
Tajiri Said Lugumi amewekeza Mabillion ya fedha kusaidia watoto yatima, asiyeunga mkono juhudi zake hana tofauti na muuwaji wa watoto yatima

Tajiti huyu amewezeka fedha nyingi kujenga vituo vya kulelea watoto yatima lakini haishii hapo tu anaenda mbali kwa kuhakikisha watoto hao wanapata elimu bora

Ni muda mwafaka wa matajiri wa Tanzania kuiga mfano kutoka kwa Lugumi kwani kadiri tunavyosaidia watu wasiojiweza ndivyo tunavyozidi kuongezewa

Rai yangu kwa Serikali iendelee kumuunga mkono kwa namna tofauti ikiwemo kumpa wepesi pale anapokuwa akihitaji vibali vya kutimiza malengo yake lakini vilevile iendelee kumpa ulinzi mkubwa kwasababu ana faida kubwa sana ndani ya Taifa la Tanzania

Tazama Video hii
Ni misaada tu au malengo ya kisiasa
 
Tajiri ana tafuta nafasi ya kuiponya nafsi yake.
 
Sijui malengo yake, lakini tunajua hayo mapesa yametokana na upigaji wa rasilimali ambazo zingeweza kuwafanya hao mayatima wasihitaji misaada yake.

Beware of the Greeks bearing gifts
 
Hata km ni mwizi ila anatoa ..yule jamaa wa Burundi Union akaunt yk japo siijui unawez zm na hatoi
 
Mtoa mada na wengine kabla ya kumsifu Lugumi na kubagaza matajiri wengine hebu jiulize wewe mwenyewe umesaidia nini hadi sasa. Kama hujasaidia basi na wewe unaingia kundi hilo hilo

Usifikiri kusaidia watu ni ishu ya utajiri. Kusaidia watu ni moyo wa mtu na utu baaaasi. Ukiwalaumu matajiri hawajasaidia jiulize wewe na kipato chako hicho hicho unachoona kidogo umewahi wasaidia nini hao watoto yatima. Umewahi wanunulia hata penseli? Umeshindwa mwaka mzima kumnunulia mtoto yatima hata mmoja tu begi la madaftari?

Hata hao unaoona matajiri nao vipato vyao vinakazi kama ambavyo wewe unaona kipato chako kidogo kina kazi hakitoshi
 
Ni nani asiyejua kuwa kwenye hiyo wanayoita misaada ya watoto yatima, wanaendesha humohumo biashara ya kuuza watu na viungo vya binadamu?....
 
Back
Top Bottom