nadiegirlie
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 479
- 671
Mtaacha lini kula nauli..?Wanaume kama kuna swali linakutatiza kuhusu wanawake na tabia zao,maumbile au kitu chochote kinachowahusu wanawake ni muda wako wa kuuliza hapa na wanawake watanisaidia kujibu maswali yatakayoulizwa yaliyo ndani ya uwezo wao.Karibuni uwanja ni wenu
Mkiacha kuchepuka[emoji41]Mtaacha lini kula nauli..?
Labda Kama tunachepuka na Ng'ombe lakini kama ni nyienyie my!..πMkiacha kuchepuka[emoji41]
Nauli haziwezi acha kuliwa[emoji23][emoji23][emoji23]ukituma nauli hesabu kama umebetiMtaacha lini kula nauli..?
Bladifakini..πNauli haziwezi acha kuliwa[emoji23][emoji23][emoji23]ukituma nauli hesabu kama umebeti
[emoji16][emoji16]basi 50/50Labda Kama tunachepuka na Ng'ombe lakini kama ni nyienyie my!..[emoji2]
Hela ya nauli ni tamu asikwambie mtu π€£π€£π€£π€£Mtaacha lini kula nauli..?
Kddy jshcs jcbh kitu kizito kisogoni.Hela ya nauli ni tamu asikwambie mtu π€£π€£π€£π€£
ππππMtaacha lini kula nauli..?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na bado unaachwa khaaahMtaacha lini kula nauli..?
Bladifakini..π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na bado unaachwa khaaah
Wanawake tunapendana sana sema ndio hivyo tuna upendo na yule mtu ambaye unaona kabisa ana upendo na wewe ule upendo wa dhati kutoka moyoni.Ukiona wanawake wananafikiana ujue tu wanavumiliana kwa sababu ya mazingira fulani yanayowafanya wawe pamoja mfajo labda viccoba au ni wapangaji au wana huyo mtu mmoja ambae ni rafiki yao wote.Si unajua kunafikiana kunaanza na sababu maalumu?Kwanini wanawake hampendani na mnanafkiana sana?
Tutaacha mtavyoacha kutuma nauli kamili.Mtaacha lini kula nauli..?
Mmmh basi mwangalie sana huyo Mwanamke uliyenaye kwenye mahusiano.Nae kuna uwezekano mkubwa ni rahisi sana kugawa mechi za njekwanini ni rahisi kula marafiki wa mwanamke niliye naye kwenye mahusiano
ππππHela ya nauli ni tamu asikwambie mtu π€£π€£π€£π€£