Mbona wanawaacha wahusika halisi Mwema na Nchimbi na kuwaonea hawa wanaopokea amri zao tu na hawatakiwi kuzipinga!
Bado IGP Mwema hajakamatwa???
Bado IGP Mwema hajakamatwa???
Wakuu hivi huyo muzungu kwenye picha ni nani? Kweli hili chama ni balaa limedhihirisha ni la wote hakuna ubaguzi wa aina yoyote iwe dini, rangi, jinsia, wala nini. Viva Chadema.
Mbona wanawaacha wahusika halisi Mwema na Nchimbi na kuwaonea hawa wanaopokea amri zao tu na hawatakiwi kuzipinga!
NAIBU KATIBU MKUU WA CDM TAIFA yuko wapi mbona yeye haonekani!!
Alipaswa aanze yeye!!!!Bado IGP Mwema hajakamatwa???
.
Sio zungu wewe huyu ni nduguye rostam ambae ni mdogo wake na deuji kwa baba mkubwa abood. Ameongoka kutoka katika matendo machufu ya ufisadi wa ccm, na ni Chadema damu kwa sasa.
.
.
Sio zungu wewe huyu ni nduguye rostam ambae ni mdogo wake na deuji kwa baba mkubwa abood. Ameongoka kutoka katika matendo machufu ya ufisadi wa ccm, na ni Chadema damu kwa sasa.
.
Yuko honeymoon....
-Habari zilizotufikia punde ni kwamba askari wanane (8) wamekamatwa mkoani Morogoro kwa tuhuma za mauaji ya Muuza magazeti Ali Zona wakati wa maandamano ya Chadema yaliyofanyika mwezi uliopita mjini humo.
-Mjini Iringa mtuhumiwa wa mauaji ya Daudi Mwangosi hakuweza kufikishwa mahakamani leo kama ilivyokuwa imepangwa.
-IGP Mwema bado yupo Iringa anahaha kuzungumza na viongozi wa dini kusaidiwa kupoza mambo katika jamii kuhusu tukio la kuuawa kwa mwandishi wa habari Daudi Mwangosi, tukio ambalo limeonekana kugusa hisia kali miongoni mwa wanajamii mkoani humo.