"Askari" aonekana akimwekea Davis Mosha kitu mfukoni

Hakukutana na vijana wa kazi huyo,sa izi ingekuwa mengine anizuie kufanya kazi halali niliyotumwa na serikali na anipore kitendea kazi sa izi angekuwa ICU
 
Hakukutana na vijana wa kazi huyo,sa izi ingekuwa mengine anizuie kufanya kazi halali niliyotumwa na serikali na anipore kitendea kazi sa izi angekuwa ICU

Hivi utaratibu wa kupekuliwa ukoje
 
Katoa kitu mfukoni kwake alafu kwa umakini mkubwa akaingiza mfukoni kwa Jamaa...ingawa sio clear kama alifanikiwa ama la.

Sema sasa adui atakuwa aliyechukua huo mkanda, hawa jamaa hawapendi kushindwa kirahisi rahisi.
 
Swali: Hao maofisa kabla ya kwenda walijua kabisa kuwa ni lazima Mosha atafanya vurugu, na kuwasukuma sukuma hivyo watapata muda wa kumwekea kitu mfukoni wakati wa vurugu?
Mlengwa huwa ni yeyote atakayeingia anga zao.

Wao wanakuwa standby muda wowote kwa yeyote.
 

Mkuu mbona povu linakutoka sana
Vipi unamaslahi nae
Aungemshautri atii sheria bila shuruti
Lugola alipowaambia waajiri wajiandae yeye alikuwa anasikiliza nini? bongo fleva.Au mlizania Lugola anatania
Huyu jamaa kuna uhakika kuwa anaajiri wafanyakazi haramu that why alipanic...
Mlizoea kuyaona haya yakifanyika kwa upinzani mkazani mkiwa ccm mnaweza kufanya lolote
Zama zimebadirika, Lugola ndani ya nyumba mwendo niule ule na ccm ni ileile
 

Nakushauri usome vyanzo mbalimbali vya habari
Hayo yote unayo yasema bila shaka waliyafanya na ndiomaana wakaruhusiwa kuongea na meneja.
Tatizo ukiwa na pesa ukakosea mashabiki wako unaowalipa fadhila za bia na supu watajaa mitandaoni kukutetea in turn wanatetea matumbo yao.
Kwa kifupi Mosha amechemka, huwezi kumwambia binadamu mwenzako "MBWA WEWE"..
Naamini hata Raisi wetu mpendwa mpenda haki na mtetezi wa wanyonge akisikia watumishi wake wauma wanaitwa MBWA haita mpendeza
Mosha cha msingi aombe msamaha yaishe
 
MUWE MAKINI NA MADA MNAZOZIANZISHA

MWENZENU MMOJA ALIKASHIFU JESHI KWAKUDAI HUDUMA ZAO PALE L


MUWE MAKINI NA MADA MNAZOZIANZISHA

MWENZENU MMOJA ALIKASHIFU JESHI KWAKUDAI HUDUMA ZAO PALE LUGALO MBOVU

KILICHOFUATA JEWSHI LIKAMTAKA AJIPELEKE MWENYEWE AKAONGEE NA WA JEDA

ILANI YANGU KWAKO MLETA MADA, JESHI LA POLISI LINAWEZA LIKAKUOMBA UKATOE USHAHIDI KWENYE HII MADA YAKO NA UTHIBITISHE KAMA KWELI HUYO UMSEMAE NI ASKARI AU MPAMBE WA JAMAA YENU
 
makonda sometimes mnamuonea tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

maana davis mosha na makonda ni mabest ile mbaya
 
Huu uonevu siku waoneaji watakapoanza kuondolewa, mmoja baada ya mwingine
 
Kweli aisee,hivi mtu kama huyo nikienda nikavaa mask nikamtia risasi ntakuwa nna kosa?
 
Alisema mbwa akimaanisha mtu masikini ukimlinganisha na yeye,Mimi naona sawa wale jamaa ni mbwa tu kwa mosha yupo sawa kabisa,
 

Mkuu acha uzushi... David Mosha ni criminal aliyebobea hawahitaji kumwekea bhangi ni kufungua record zake tu wanapata makosa kibao ya kudeal naye tena ya money laundering!! Huyo naye wakuwekewa bhangi kweli??!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…