Askari mmoja akifa wengine wanasonga mbele; tuendelee kudai Katiba Mpya

Askari mmoja akifa wengine wanasonga mbele; tuendelee kudai Katiba Mpya

kamituga

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2019
Posts
1,195
Reaction score
1,933
Wakuu za asubuhi?

Nawatafuta makamanda wezangu tuendeleze vita ya kudai Katiba.

Askari mmoja akifa au akipigwa risasi haturudi nyuma. Tunakwama wapi Makamanda?

Mbona mkwara tulikuwa nao mkubwa sana kwenye media?

Wapi Mdude, tusonge mbele!
 
Back
Top Bottom