S.M.P2503
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 2,421
- 4,344
Huyu Askari aliyeyasema maneno haya ni wa busara sana. Mama Samia, Rais wetu- Muangalie huyu askari wako kwa jicho la husda kwa jinsi alivyotatua mgogoro huo. Nguvu na mabavu siku zote sio suluhisho.
Zungumzeni kwa stairi ya askari huo kama kweli zile R4 ni za ukweli... watu wana maumivu sana, majonzi sana, wanalia sana, na wewe mheshimiwa Raisi ndiye comforter in chief.
Hebu wasikilize hapa :
View: https://youtube.com/clip/UgkxxGdUi7TUhm8A0zo5DaOIF8OautKBMZyt?si=6pDcdIC6AiDGctZQ
Zungumzeni kwa stairi ya askari huo kama kweli zile R4 ni za ukweli... watu wana maumivu sana, majonzi sana, wanalia sana, na wewe mheshimiwa Raisi ndiye comforter in chief.
Hebu wasikilize hapa :
View: https://youtube.com/clip/UgkxxGdUi7TUhm8A0zo5DaOIF8OautKBMZyt?si=6pDcdIC6AiDGctZQ