Existentialist
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 554
- 377
Nimejaribu kufanya tathmin
ndogo ila nimegua kesi nyingi hatari zinaishia vituo vya police kama vl
ubakaji, ujangili, n.k
Kwan polisi wamekuwa mahakimu wa kesi nying!!!
Swal kuna haja ya kuwa na mahakama za mwanzo wakati polisi wanahukumu
kwenye vituó????
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums