Tetesi: Askari Polisi kituo cha Mwanakwerekwe akamatwa na madawa ya kulevya akiwa hotelini

Tetesi: Askari Polisi kituo cha Mwanakwerekwe akamatwa na madawa ya kulevya akiwa hotelini

Shida na raha

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
3,773
Reaction score
3,471
Habari za mchana waungwana.

Nimepata tetesi kwamba askari Polisi kituo cha Mwanakwerekwe amekamatwa na kete za unga zisizopungua 200 huko hoteli ya Kiwengwa, na mpaka sasa askari huyo amesharejeshwa uraiani kuja kujumuika na sisi (hana kazi).

Mwenye kujua zaidi atujuze nasisi tupate habari vizuri.

Sio tetesi ni habari za kweli na hiyo ilikuwa ni jana na kwasasa si askari tena bali ni mtuhumiwa wa madawa ya kulevya aliyekamatwa na vidhibiti kamili wakati akienda kusambaza mzigo.

Asili yake ni Tanganyika au Tanzania bara jinsia yake ni mwanaume umri haujatajwa
 
Habari za mchana waungwana.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimepata tetesi kwamba askari polisi kituo cha Mwanakwerekwe amekamatwa na kete za unga zisizopungua 200 huko hoteli ya Kiwengwa, na mpaka sasa askari huyo amesharejeshwa uraiani kuja kujumuika na sisi (hana kazi).

Mwenye kujua zaidi atujuze nasisi tupate habari vizuri.
Sio tetesi ni habari za kweli na hiyo ilikuwa ni jana na kwasasa si askari tena bali ni mtuhhumiwa wa madawa ya kulevya aliyekamatwa na vidhibiti kamili wakati akienda kusambaza mzigo...asili yake ni Tanganyika au Tanzania bara jinsia yake ni mwanaume umri haujatajwa
 
Duuh .. Kweli hii nchi imeoza. . kila bosi ana bosi wake, sasa cjui bosi wake kwenye madawa ni nani.. Na cjui kaa atamtaja , jamaa wanakula viapo kama FBI
 
Back
Top Bottom