Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Jeshi la Polisi Tanzania, liliagizwa na Makamu wa Rais Hon Philip Mpango kuhakikisha wanavaa kamera ambazo zitaonyesha vitendo vyao vyote wawapo barabarani, hapa namaanisha Traffick mnamo 11-5-2024.
Traffick wamekuwa wakilalamikiwa sana, japo ni kama wanaonewa maana kwanza wanavaa nguo nyeupe kuashiria usafi lakini pia wanafanya kazi sehemu za wazi yaani barabarani kweupe na wamekuwa na utu sana.
Traffick wana utu kuliko kada yoyote kwakuwa kila asubuhi hu-simamisha daladala na madereva au kondakta hushuka na kwenda kusalimiana na traffik na kurudi wakikimbia, ni salamu.
Ikifika saa nne hukaa mbele ya mataa na kuvizia gari zinazopita na RED LIGHT, huu nao ni upendo kuwakumbusha watu.
Lakini pia wametumika na TARURA kukamata magari yaliyopigwa faini lakini hayalipi, ni weledi mzuri sana.
Traffik hawa pia ni wema maana wanawaonea huruma watu wa daladala, ambazo hazina taa, viti vimeoza, hayana rangi, yamegongwa na yanapita barabarani ila gari ndogo hata mchubuko tu unakamatwa!
Traffick pale Salander bridge kama unatokea mwenge kwenda kariakoo weekend lazma wasimamishe gari, huwapiti, wanakusalimia kwa upendo, tuendelee kuheshimu sheria za barabarani.
UPDATE:
Hili agizo limepuuziwa, Mheshimiwa Makamo wa Rais, umepewa tarifa kufuatia picha iliyoonekana maafisa polisi wakichukua chochote !
Traffick wamekuwa wakilalamikiwa sana, japo ni kama wanaonewa maana kwanza wanavaa nguo nyeupe kuashiria usafi lakini pia wanafanya kazi sehemu za wazi yaani barabarani kweupe na wamekuwa na utu sana.
Traffick wana utu kuliko kada yoyote kwakuwa kila asubuhi hu-simamisha daladala na madereva au kondakta hushuka na kwenda kusalimiana na traffik na kurudi wakikimbia, ni salamu.
Ikifika saa nne hukaa mbele ya mataa na kuvizia gari zinazopita na RED LIGHT, huu nao ni upendo kuwakumbusha watu.
Lakini pia wametumika na TARURA kukamata magari yaliyopigwa faini lakini hayalipi, ni weledi mzuri sana.
Traffik hawa pia ni wema maana wanawaonea huruma watu wa daladala, ambazo hazina taa, viti vimeoza, hayana rangi, yamegongwa na yanapita barabarani ila gari ndogo hata mchubuko tu unakamatwa!
Traffick pale Salander bridge kama unatokea mwenge kwenda kariakoo weekend lazma wasimamishe gari, huwapiti, wanakusalimia kwa upendo, tuendelee kuheshimu sheria za barabarani.
UPDATE:
Hili agizo limepuuziwa, Mheshimiwa Makamo wa Rais, umepewa tarifa kufuatia picha iliyoonekana maafisa polisi wakichukua chochote !
Pia soma=> Dkt. Mpango: Askari wa Barabarani wakianza kuvaa Kamera itapunguza Rushwa