Askari wa Israel mahakamani Morocco kwa makosa ya kivita Gaza

Hehehehe, netanyahu mwenyewe haiti hivyo, hizbullah shughuli nyingine,we sikilizia tu
Mpaka sasa hakuna majibu ya maana makombora yake asilimia kubwa yanadunguliwa juu kwa juu.
 
Adhabu hapa hapa duniani
 
Watapata wanachokitafuta
Unadhani unavyoongopewa na wachungaji uchwara juu ya ukubwa wa Mazayuni na wewe ukawaamini unafikiri kila mtu ana uoga kama wako?

Waafrika wamepigwa propaganda kwa muda mrefu mno kuwa Israel ana nguvu kiasi hicho lakini kupitia kukua kwa teknolojia tumejionea wepesi wa Israel kama karatasi.

Hapo Gaza kamji kadogo kama Kigamboni bado anapambana na wanamgambo wasio na silaha za kisasa wala hata kifaru kimoja takribani mwaka sasa.
 
Hehehehe pole sana,miungu wako wanachakaa,ndiyo maana waume zao wanasogeza meli na manowari kusaidia kutungua na mengine
Usije kukimbia JF na kubadili ID Jeshi la IDF linaenda hadi Mto Litani.
 
Atashtaki nini wakati hana cha kushtaki
 
Mbwembwe tu hizo ni kama wairan walivyojitutumua kuwa wangeifuta Israel duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…