Askari wa usalama barabarani waliopo Kigamboni mnaudhi sana

Askari wa usalama barabarani waliopo Kigamboni mnaudhi sana

Kiboko.

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
2,891
Reaction score
1,214
Habari wanabodi,

Kigamboni sasa imekuwa kama mkoani trafic wenye torch wapo kila barabara, kitu kinachofanya wakazi wa Kigamboni kuhisi kama ni mateso, barabara hazina folen kulazimishwa kutembea speed 50. Mbona Nyerere ,Mandela,Ali Hassan Mwinyi, Barack Obama, Bibi Titi, Morogoro na Bagamoyo road hazina trafic wenye tochi?

Hebu tafuteni chanzo kingne cha mapato na sio kughasi watu wa Kigamboni. Afu kuna wengne wanajificha kwenye DARAJA la NYERERE, pale kuna camera nyingi tu kwanini zisitumike hizo kuwakamata walivuka speed limit mnaamua jificha?

Acheni hiyo tabia mara moja.

Mkaaazi wa Kigamboni, Kibada.
Kiboko.
 
Pole sana...

Mi kuna siku kidogo wanidake wakati namaliza daraja, nilivyopunguza mwendo nikawaokoa wa nyuma yangu..
Cha ajabu wale traffic wakawa wananilaumu nimewakosesha ulaji!
 
Pole sana...
Mi kuna siku kidogo wanidake wakati namaliza daraja, nilivyopunguza mwendo nikawaokoa wa nyuma yangu..
Cha ajabu wale traffic wakawa wananilaumu nimewakosesha ulaji!
Dar es Salaam na Arusha Ni Traffic cities Kila hatua chache Traffic hata uwe na Kila kiti kasafari kadogo kanakuchukua muda mrefu Sana Nina mtoto wa jirani aliulizwa na mwalimu wale Askari wa Traffic barabarani kazi Yao nini? Akajibu kusimamisha magari yanayotembea
 
Niliweka mabomba ya plastic ya marefu (ya maji taka) kwenye pickup. Wakanidaka yalikuwa manane. Kesho yake nikanunua mabomba 12 nikaweka kwenye kokoteni yakapita barabara hiyohiyo yakafika nyumbani bila shida. Uchumi wetu unategemea wenye magari siku hizi
 
Pole sana...

Mi kuna siku kidogo wanidake wakati namaliza daraja, nilivyopunguza mwendo nikawaokoa wa nyuma yangu..
Cha ajabu wale traffic wakawa wananilaumu nimewakosesha ulaji!

Wapuuzi sana
 
Wanakera Sana.. Wenzetu huko mwenge, Mikocheni traffic wanalazimisha watu kuongeza mwendo ili kupunguza foleni na muda wa kukaa barabarani sisi huku kigamboni traffic wamefanya mtaji.... Kigambni yote eti speed hutakiwi kuzidi 50km/hr Tena hamna hata vibao mtu nakwambia ni eneo la makazi sasa kama makazi Dar es salaam yote si makazi?

Haiwezekani Kigamboni yote iwe speed 50!
 
Wanakera Sana.. Wenzetu huko mwenge, Mikocheni traffic wanalazimisha watu kuongeza mwendo ili kupunguza foleni na muda wa kukaa barabarani sisi huku kigamboni traffic wamefanya mtaji.... Kigambni yote eti speed hutakiwi kuzidi 50km/hr Tena hamna hata vibao mtu nakwambia ni eneo la makazi sasa kama makazi Dar es salaam yote si makazi?

Haiwezekani Kigamboni yote iwe speed 50!
 
Habari wanabodi,

Kigamboni sasa imekuwa kama mkoani trafic wenye torch wapo kila barabara, kitu kinachofanya wakazi wa Kigamboni kuhisi kama ni mateso, barabara hazina folen kulazimishwa kutembea speed 50. Mbona Nyerere ,Mandela,Ali Hassan Mwinyi, Barack Obama, Bibi Titi, Morogoro na Bagamoyo road hazina trafic wenye tochi?

Hebu tafuteni chanzo kingne cha mapato na sio kughasi watu wa Kigamboni. Afu kuna wengne wanajificha kwenye DARAJA la NYERERE, pale kuna camera nyingi tu kwanini zisitumike hizo kuwakamata walivuka speed limit mnaamua jificha?

Acheni hiyo tabia mara moja.

Mkaaazi wa Kigamboni, Kibada.
Kiboko.
Kuna barabara mpya Kibda-Kisiwani baada ya kuona imekuwa nzuri sasa wamehamia hapo kupiga tochi!
 
Kuna barabara mpya Kibda-Kisiwani baada ya kuona imekuwa nzuri sasa wamehamia hapo kupiga tochi!

Wapuuzi sana na hizi pesa wanakula wao wenyewe tu, tunaomba hili lifke kwa mkuu wa mkoa wa DSM aje awatumbue hawa jamaaa.
 
Hawa Traffic watusaidie kwa hawa madereva root za Cheka ikifika saa 2 usiku tuu hawataki kwenda,
Tunapata shida sana, sehemu ina km 25 tuu lakini nauli 900 wakati kuna kivukoni - Buza nauli 400 tuu
 
Tatizo mkiachwa kucharaza mwendo huru mtavunja watu miguu.


"Mweusi bado sana kujitawala"
 
NILISHASEMA WAMILIKI WA MAGARI WAYAPAKI WAFANYE MGOMO WA SIKU MOJA AU MBILI
TUONE HAO TRAFFIC WATAFANYA KAZI GANI

ova
 
Dar es Salaam na Arusha Ni Traffic cities Kila hatua chache Traffic hata uwe na Kila kiti kasafari kadogo kanakuchukua muda mrefu Sana Nina mtoto wa jirani aliulizwa na mwalimu wale Askari wa Traffic barabarani kazi Yao nini? Akajibu kusimamisha magari yanayotembea
We uweke bendera Ile ya kijani mbele mkuu
Hutobugudhiwa

Ova
 
Habari wanabodi,

Kigamboni sasa imekuwa kama mkoani trafic wenye torch wapo kila barabara, kitu kinachofanya wakazi wa Kigamboni kuhisi kama ni mateso, barabara hazina folen kulazimishwa kutembea speed 50. Mbona Nyerere ,Mandela,Ali Hassan Mwinyi, Barack Obama, Bibi Titi, Morogoro na Bagamoyo road hazina trafic wenye tochi?

Hebu tafuteni chanzo kingne cha mapato na sio kughasi watu wa Kigamboni. Afu kuna wengne wanajificha kwenye DARAJA la NYERERE, pale kuna camera nyingi tu kwanini zisitumike hizo kuwakamata walivuka speed limit mnaamua jificha?

Acheni hiyo tabia mara moja.

Mkaaazi wa Kigamboni, Kibada.
Kiboko.
Wanakera sana Hususani kwenye Barabara ya kwenda Cheka yaani kuanzia mikadi tu unaanza kusimamishwa
 
Back
Top Bottom