Elections 2010 Askofu ampoza Dk. Slaa

Kwa hiyo ukiibiwa uache tu, coz utasababisha machafuko, hii askofu HAIJAKAA POA KABISA
 
Yesu Kristo wakati anaeneza dini alifanyiwa dhihaka sana kama vile badili mawe yawe mkate ili akabiliane na njaa, akatae yeye si Mungu ili ayakwepe mateso lakini alikataa ili akamilishe kazi yake ya utume. Mandela aliahidiwa vitu vingi sana na Makaburu iwapo ataacha kujihusisha na siasa na leo ni mtu anayeheshimika sana duniani . Ni mambo ya kusikitisha sana kuona mtumishi wa Mungu(askofu) anamshauri Slaa aache kusimamia ukweli ahamie kwenye uongo. Kwa nini askofu ana roho nyepesi namna hii? Bila shaka ametumwa au anajikomba huenda CCM wakatoa bahasha kwa wanaotetea uongo. Askofu hakuna watanzania watakaopigana kwa ajili ya matokeo lakini mwaje Slaa asimame kwenye ukweli kama anaamini hivyo. Kama unaiogopea nafsi yako jikalie kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…