Ajabu iko wapi wewe?
Nenda uwaone waumini wa mtu huyu, ni watu wenye pesa zao na wanaheshimika mno katika jamii, si wale mazuzu ambao utasema labda wanadanganywa..Ni watu wenye uelewa kuliko wewe!
Nani aliyewaambia kwa Mungu wetu kuna umasikini?
Hakuna definition ya umasikini zaidi ya MENDE NA PANYA, mnataka watu wanaomtumikia Mungu aliye hai waishi na funza na Panya ndo muone wanaongea ukweli?
Acheni fikra mbofumbofu bana, mi naona sawa, ili mradi hakuna malalamiko kanisani kwake,,who are we to judge?
materialistic and spritualityhawa ndio wawakilishi wa mashetani
Ataihitaji hiyo nyundo kupigia misele kwenye hizo projects mkuu...pengine labda ndiko alikoona aanzie....Just my thinking...😀...kabla ya kununua hama ...angejenga kwanza lile banda analoita kanisa ambalo kila siku linahatarisha maisha ya watu wanaoweza kuangukiwa nalo,KUENEZA INJILI SEHEMU HADI ZILE DUNI..[sio mnakazania kueneza injili kwa wenye kipato tu]...,alafu akajenga shule ,hospitali ,kusaidia yatima na wahitaji ...kama neno la mungu linavosema...nilikuwa na njaa ukanilisha ,na kiu....pesa zikibaki ndio anunue HAMMER.....
Hakuna gari inaitwa Hammer, lakini kuna gari inaitwa HUMMER.
Na kuna HUMMER H2,H3, na H5.
Bei za hizi haziko katika luxurious bracket, hizi ni trekta, gari za kazi.
Hivyo si kweli kuwa gari hizo utazipata kwa Millioni 250 huo ni uongo!!
Nimeweka CURRENT prices za gari hizo for your fair decision on the thread!!
H3
THE MIDSIZE SUV.
The HUMMER H3 is proof positive that good things can come in small packages. Even if you are a HUMMER. Of course, to belong to the HUMMER SUV family, you not only have to look the part, you also have to live up to the off-road 4x4 reputation that the family made famous. We're proud to say that the H3 does. Fully capable off-road. Totally comfortable on it. HUMMER 100,000-mile/5-year transferable Powertrain Limited Warranty. OnStar with 1-year Safe and Sound Plan. All standard. STARTING AT $34,135.
H2 SUT
THE H2 SPORT UTILITY TRUCK. Half pickup, half SUV, the SUTs bold looks, luxurious interior, and unparalleled off-road performance make it 100% HUMMER. With a host of standard features and a durable 72-inch bed, when the midgate is folded down, the SUT is as versatile as it is striking. STARTING AT $62,260*
Haya magari heri ununue Landcruiser VX, na spea zake utapata.
Hivyo basi aidha habari hii si kweli au huyo mtu wa Mungu katapeliwa!!!!
Hawa ndio wawakilishi wa mashetani
Asante mtumishi wa Mungu. Hili ndilo tatizo kubwa la dini hizi za asili.Tatizo lako pretty ni dogo
uroman/ulutheran/
hili ni tatizo kubwa sana na ndilo lililofanya wajanja wakakimbia na kuhamia kwenye madhabahu zilizo sahihi;najua si tatizo lako
tatizo la kuwafwata wazazi wetu bila kujua kila mtu atajibu kwa mema yake na mabaya yake;babako mamako hatojibu dhambi zako siku ya mwisho;achana na dini ya baba dini ya mama fwata sehemu utakapoponya roho yako na siku ya mwisho kuwepo kwenye ufalme wa mungu;najua unaitaji ufahamu zaidi kuelewa hili ila ni nafsi yako inaitaji kukubali kurekebishwa kuondoa laana za mabab/mababu zetu baada ya hapo unasafishwa;unachgotakiwa kufanya nenda sehemu ambayo utapenya utaokoa roho yako sikwambii uende wapi ila nimefua=rahi kati ya hao ni hayo uliyoandika;usione aibu mwombe mungu akusamehe ;utoke kwenye dini za wazazi;
ibrahim alitoka kwa babale tera ndipo alipofanikiwa usiogope kutoka dini ya babako;nakutakia maisha mema natumaini kuleta mada hapa mungu ana makusudi ya kuokoa roho zako
swala la hammer usiogope kwa ushauri usikae kwenye m,akanisa ya wachungaji wanaozoe kuomba pesa;nenda kanisa ambalo mchungaji/askofu anafundisha neno la mungu kwa akili yako na ufahamu wako bila kusukumwa na baba wala mama yako unaingia mfukoni na kumtolea mungu hiyo ndio neema tuliyo nayo;zamani tulikuwa makanisa hayo hayo tunatoa pesa kwa kulazimishwa mara makadi kibao ya nini ujenzi;jengo bila kujua ujenzi ni huo huo unajenga majengo;soma neno la mungu ndilo uzima
yohana 6:63
neno ni roho tena ni uzima
yer 1:12
nalisikiliza neno nipate kulitimiza
huyu bwana amekuwa na imani ya ajabu na ndio maana kanisani kwake akuna wajinga wanaaooomba nauli baada ya ibada kama wapo njo nikupe hammer na wewe;ukiwa na imani ukilijua neno ukaacha dhambi mungu akuwachi fwata mungu anayoitaji utaona mwenyewe;we uzinzi wewe tamaa wewe ulevi wewe shida za ndoa kwa nini umaskini usikujie na kizazi chako;tuache dhambi hammer zipo jamani zipo nasema;mi nimwona mungu wa isaka yakobo na ibrahimu na gwajima;nilikuwa pale nikaomba kwa imani gari
Kanisa ni nini mkuu? unaandika kitu unajua? ebu kama unajua tuambie kanisa ni nini? angalizo: usituambie kanisa ni jengo!Mimi najiuliza kwanini kila Mtumishi wa Mungu anafikiria na anaishia kuanzisha kanisa lake? Hivi ni kweli kuwa kuna tofauti ya uelewa wa neno la Mungu kati yao?
Maana kama wanamuubiri Mungu Mmoja, Yesu Mmoja, wanatumia Bibilia moja, nafikiri baadhi ya makanisa madogo kama pale kwa Kakobe, Mwingira, Rwakatale, Mzee wa upako, Gwamanya, Nk walipaswa kuungana ili kutengeneza kanisa moja lenye nguvu, na waumini wengi.
Ukijiuliza kwa nini hilo halijawahi kufikirika au kufikiriwa, utagundua kuwa utata upo kwenye mgao au matumizi ya pesa za matoleo.
Wakiungana kutakuwa na accountability / kuwajibika katika matumizi ya pesa za kanisa, hivyo malengo ya mwanzilishi wa kanisa hayatafikiwa !
Labda kwa makanisa ya Katoriki na Lutheran lakini makanisa ya kipentekoste wako wazi kwa masuala ya pesa na wala wachungaji hawahusiki kabisa katika masuala ya pesa.Ukitaka vita ya wenyewe kwa wenyewe itokee Tz ni Serikali itake mkaguzi mkuu wa hesabu zake(Utoh) akague mapato na matumizi makanisani. Hawataki kusikia kabisa kwamba kuna mtu anaetaka kujua uadilifu wao ktk pesa. Lakini hawa ndio walio mstari wa mbele kuhimiza viongozi wa Serikali wakaguliwe na ripoti iwekwe hadharani. Hasa yale makanisa ambayo kinisa ni la mchungaji na yeye ndio kila kitu. Yeye ni Nabii, ni mtume, ni mchungaji, ni mweka hazina, ni mwenyekiti wa baraza la wadhamini kama wapo, ni mwenyekiti kitengo chochote ndani ya kanisa kama kipo na pia yeye ni account ya kanisa.
nahukumbatia ushuhuda wako kwa jina la yesu soon i will nitashuhuda ushuda wangu wa gari jipya mwaka huu