Askofu Bagonza aandika kuhusu tozo za miamala na kodi ya majengo

Askofu Bagonza aandika kuhusu tozo za miamala na kodi ya majengo

BAK

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2007
Posts
124,790
Reaction score
288,165
TOZO YA MIAMALA na KODI YA MAJENGO.

Mwigulu Ayaone haya:

1. Wasamaria wema wamemuokota aliyegongwa na gari barabarani. Wakamkimbiza hospitali. Daktari anataka laki tatu kumtibu. Linaundwa group kuchangisha. Serikali inakata tozo badala ya kulipia matibabu ya raia wake!

2. Wawili wamependana. Wanatualika tule pilau ili waoane vizuri. Tunachangishana ili kuwapunguzia makali. Serikali inakata tozo badala ya kuwachangia ili waoane vizuri.

3. Mjaluo kafia Dar alikoenda kutoa mahari ya mke wa Saba. Sharti aziikwe Taarime. Tunachangishana kusafirisha. Serikali inakata tozo badala ya kuchangia ubani ili tulio msibani tule Kamongo.

4. Wakurya wamejifunza kutumia choo. Wameamua kujenga choo shuleni kwao. Wakatuma michango kupitia what's up. TOZO ya serikali iliyokatwanni sawa na tundu moja la choo. Hivi Serikali haijawazuia Wakurya kutumia choo ili waendelee kujisaidia vichakani?

5. Shule ya kata inalipia umeme kwa Luku, makanisa, misikiti, mortuary, vyoo vya umma,nk vinalipia umeme kupitia LUKU. Majengo haya yamesamehewa kulipa kodi ya majengo. Je kulipia kodi hii kupitia LUKU hakufuti misamaha hiyo?

6. Wazee wenye miaka 60 na zaidi walisamehewa kulipa kodi ya majengo. Kwa kutumia Luku kulipa kodi hii, msamaha wao umefutwa. Wanarejea kuwa vijana! Waliokuwa waajiriwa warudi kazini?!

7. Viwango vya tozo na kodi ya pango ni vikubwa. Miundo mbinu ya kampuni za simu imegharimu fedha nyingi sana na tayari wanalipa kodi na kutoa ajira. Watumiaji wa umeme vijijini wengi ni Maskini Sana wanaoishi kwa huruma ya TASAF isiyo rasmi. Wanahitaji kunyweshwa maziwa badala ya kukamuliwa.

8. Tumeulizwa tuna mapendekezo gani ya kuzipa pengo la bajeti endapo tozo zitafutwa? Kama mko tayari kusikiliza tutapendekeza. Wengi tunatamani serikali inayosikiliza kuliko inayodai kusikilizwa. TOZO ni mbaya na ni kubwa. Kodi ya pango kupitia LUKU ni kero na inazua maswali mengi. RUDINI mezani, punguza kusema, ongeza kusikiliza. Sikiliza wanaokosoa kuliko wanaopongeza.

Kifo cha mbwa huanza kwa kupoteza uwezo wa kunusa.

Askofu Bagonza
 
Ni mpango wa muda fulani wa kuwaibia wananchi wote pesa ili kutunisha mfuko wa Taifa , hata kauli ya ofisa wa TRA kwamba nyumba za vijijini au za tope hazitozwi tozo ni uongo
 
Ni uzalendo kweri kweri
JamiiForums-410438125.jpg
 
7. Viwango vya tozo na kodi ya pango ni vikubwa. Miundo mbinu ya kampuni za simu imegharimu fedha nyingi sana na tayari wanalipa kodi na kutoa ajira. Watumiaji wa umeme vijijini wengi ni Maskini Sana wanaoishi kwa huruma ya TASAF isiyo rasmi. Wanahitaji kunyweshwa maziwa badala ya kukamuliwa.
 
TOZO YA MIAMALA na KODI YA MAJENGO.

Mwigulu Ayaone haya:

1. Wasamaria wema wamemuokota aliyegongwa na gari barabarani. Wakamkimbiza hospitali. Daktari anataka laki tatu kumtibu. Linaundwa group kuchangisha. Serikali inakata tozo badala ya kulipia matibabu ya raia wake!

2. Wawili wamependana. Wanatualika tule pilau ili waoane vizuri. Tunachangishana ili kuwapunguzia makali. Serikali inakata tozo badala ya kuwachangia ili waoane vizuri.

3. Mjaluo kafia Dar alikoenda kutoa mahari ya mke wa Saba. Sharti aziikwe Taarime. Tunachangishana kusafirisha. Serikali inakata tozo badala ya kuchangia ubani ili tulio msibani tule Kamongo.

4. Wakurya wamejifunza kutumia choo. Wameamua kujenga choo shuleni kwao. Wakatuma michango kupitia what's up. TOZO ya serikali iliyokatwanni sawa na tundu moja la choo. Hivi Serikali haijawazuia Wakurya kutumia choo ili waendelee kujisaidia vichakani?

5. Shule ya kata inalipia umeme kwa Luku, makanisa, misikiti, mortuary, vyoo vya umma,nk vinalipia umeme kupitia LUKU. Majengo haya yamesamehewa kulipa kodi ya majengo. Je kulipia kodi hii kupitia LUKU hakufuti misamaha hiyo?

6. Wazee wenye miaka 60 na zaidi walisamehewa kulipa kodi ya majengo. Kwa kutumia Luku kulipa kodi hii, msamaha wao umefutwa. Wanarejea kuwa vijana! Waliokuwa waajiriwa warudi kazini?!

7. Viwango vya tozo na kodi ya pango ni vikubwa. Miundo mbinu ya kampuni za simu imegharimu fedha nyingi sana na tayari wanalipa kodi na kutoa ajira. Watumiaji wa umeme vijijini wengi ni Maskini Sana wanaoishi kwa huruma ya TASAF isiyo rasmi. Wanahitaji kunyweshwa maziwa badala ya kukamuliwa.

8. Tumeulizwa tuna mapendekezo gani ya kuzipa pengo la bajeti endapo tozo zitafutwa? Kama mko tayari kusikiliza tutapendekeza. Wengi tunatamani serikali inayosikiliza kuliko inayodai kusikilizwa. TOZO ni mbaya na ni kubwa. Kodi ya pango kupitia LUKU ni kero na inazua maswali mengi. RUDINI mezani, punguza kusema, ongeza kusikiliza. Sikiliza wanaokosoa kuliko wanaopongeza.

Kifo cha mbwa huanza kwa kupoteza uwezo wa kunusa.

Askofu Bagonza
Tumeulizwa tuna mapendekezo gani ya kuzipa pengo la bajeti endapo tozo zitafutwa? Kama mko tayari kusikiliza tutapendekeza. Wengi tunatamani serikali inayosikiliza kuliko inayodai kusikilizwa. TOZO ni mbaya na ni kubwa. Kodi ya pango kupitia LUKU ni kero na inazua maswali mengi. RUDINI mezani, punguza kusema, ongeza kusikiliza. Sikiliza wanaokosoa kuliko wanaopongeza.

Kifo cha mbwa huanza kwa kupoteza uwezo wa kunusa.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
"Joto linapo zidi kuwa kali ujue moto uko karibu kuwaka"
 
Tozo ni njema Sana zimeongeza wigo wa walipakodi, tatizo viwango vipo juu Sana.mfano viwango chini ya 10,000 - 50,000 wastani wake garama kutuma na kupokea makato zaidi ya 15%
 
TOZO YA MIAMALA na KODI YA MAJENGO.

Mwigulu Ayaone haya:

1. Wasamaria wema wamemuokota aliyegongwa na gari barabarani. Wakamkimbiza hospitali. Daktari anataka laki tatu kumtibu. Linaundwa group kuchangisha. Serikali inakata tozo badala ya kulipia matibabu ya raia wake!

2. Wawili wamependana. Wanatualika tule pilau ili waoane vizuri. Tunachangishana ili kuwapunguzia makali. Serikali inakata tozo badala ya kuwachangia ili waoane vizuri.

3. Mjaluo kafia Dar alikoenda kutoa mahari ya mke wa Saba. Sharti aziikwe Taarime. Tunachangishana kusafirisha. Serikali inakata tozo badala ya kuchangia ubani ili tulio msibani tule Kamongo.

4. Wakurya wamejifunza kutumia choo. Wameamua kujenga choo shuleni kwao. Wakatuma michango kupitia what's up. TOZO ya serikali iliyokatwanni sawa na tundu moja la choo. Hivi Serikali haijawazuia Wakurya kutumia choo ili waendelee kujisaidia vichakani?

5. Shule ya kata inalipia umeme kwa Luku, makanisa, misikiti, mortuary, vyoo vya umma,nk vinalipia umeme kupitia LUKU. Majengo haya yamesamehewa kulipa kodi ya majengo. Je kulipia kodi hii kupitia LUKU hakufuti misamaha hiyo?

6. Wazee wenye miaka 60 na zaidi walisamehewa kulipa kodi ya majengo. Kwa kutumia Luku kulipa kodi hii, msamaha wao umefutwa. Wanarejea kuwa vijana! Waliokuwa waajiriwa warudi kazini?!

7. Viwango vya tozo na kodi ya pango ni vikubwa. Miundo mbinu ya kampuni za simu imegharimu fedha nyingi sana na tayari wanalipa kodi na kutoa ajira. Watumiaji wa umeme vijijini wengi ni Maskini Sana wanaoishi kwa huruma ya TASAF isiyo rasmi. Wanahitaji kunyweshwa maziwa badala ya kukamuliwa.

8. Tumeulizwa tuna mapendekezo gani ya kuzipa pengo la bajeti endapo tozo zitafutwa? Kama mko tayari kusikiliza tutapendekeza. Wengi tunatamani serikali inayosikiliza kuliko inayodai kusikilizwa. TOZO ni mbaya na ni kubwa. Kodi ya pango kupitia LUKU ni kero na inazua maswali mengi. RUDINI mezani, punguza kusema, ongeza kusikiliza. Sikiliza wanaokosoa kuliko wanaopongeza.

Kifo cha mbwa huanza kwa kupoteza uwezo wa kunusa.

Askofu Bagonza
Nadiriki kusema Tanzania mwanamke kuongoza kama Rais bado.... ona sasa anachokifanya ni KUTALII. Kama /kutawala/kuongoza /kujenga uchumi ni kuweka kodi za "kijinga" ambazo hata mtoto wa chekechea anaweza kuweka, basi Urais ni very simple .
Huyu mwanamke tuna bahati mbaya, Mungu sijui ametulaani. Maana anatoka Jiwe version I , anakuja Jiwe version II .
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
TOZO YA MIAMALA na KODI YA MAJENGO.

Mwigulu Ayaone haya:

1. Wasamaria wema wamemuokota aliyegongwa na gari barabarani. Wakamkimbiza hospitali. Daktari anataka laki tatu kumtibu. Linaundwa group kuchangisha. Serikali inakata tozo badala ya kulipia matibabu ya raia wake!

2. Wawili wamependana. Wanatualika tule pilau ili waoane vizuri. Tunachangishana ili kuwapunguzia makali. Serikali inakata tozo badala ya kuwachangia ili waoane vizuri.

3. Mjaluo kafia Dar alikoenda kutoa mahari ya mke wa Saba. Sharti aziikwe Taarime. Tunachangishana kusafirisha. Serikali inakata tozo badala ya kuchangia ubani ili tulio msibani tule Kamongo.

4. Wakurya wamejifunza kutumia choo. Wameamua kujenga choo shuleni kwao. Wakatuma michango kupitia what's up. TOZO ya serikali iliyokatwanni sawa na tundu moja la choo. Hivi Serikali haijawazuia Wakurya kutumia choo ili waendelee kujisaidia vichakani?

5. Shule ya kata inalipia umeme kwa Luku, makanisa, misikiti, mortuary, vyoo vya umma,nk vinalipia umeme kupitia LUKU. Majengo haya yamesamehewa kulipa kodi ya majengo. Je kulipia kodi hii kupitia LUKU hakufuti misamaha hiyo?

6. Wazee wenye miaka 60 na zaidi walisamehewa kulipa kodi ya majengo. Kwa kutumia Luku kulipa kodi hii, msamaha wao umefutwa. Wanarejea kuwa vijana! Waliokuwa waajiriwa warudi kazini?!

7. Viwango vya tozo na kodi ya pango ni vikubwa. Miundo mbinu ya kampuni za simu imegharimu fedha nyingi sana na tayari wanalipa kodi na kutoa ajira. Watumiaji wa umeme vijijini wengi ni Maskini Sana wanaoishi kwa huruma ya TASAF isiyo rasmi. Wanahitaji kunyweshwa maziwa badala ya kukamuliwa.

8. Tumeulizwa tuna mapendekezo gani ya kuzipa pengo la bajeti endapo tozo zitafutwa? Kama mko tayari kusikiliza tutapendekeza. Wengi tunatamani serikali inayosikiliza kuliko inayodai kusikilizwa. TOZO ni mbaya na ni kubwa. Kodi ya pango kupitia LUKU ni kero na inazua maswali mengi. RUDINI mezani, punguza kusema, ongeza kusikiliza. Sikiliza wanaokosoa kuliko wanaopongeza.

Kifo cha mbwa huanza kwa kupoteza uwezo wa kunusa.

Askofu Bagonza

hivi izi kodi zote na uvccm zinawahusu?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tumeulizwa tuna mapendekezo gani ya kuzipa pengo la bajeti endapo tozo zitafutwa? Kama mko tayari kusikiliza tutapendekeza. Wengi tunatamani serikali inayosikiliza kuliko inayodai kusikilizwa. TOZO ni mbaya na ni kubwa. Kodi ya pango kupitia LUKU ni kero na inazua maswali mengi. RUDINI mezani, punguza kusema, ongeza kusikiliza. Sikiliza wanaokosoa kuliko wanaopongeza.

Kifo cha mbwa huanza kwa kupoteza uwezo wa kunusa.
Nimesikiliza yule Kayombo wa TRA eti mfumo wa wenye nyumba kulipa wenyewe kodi ya jengo una usumbufu na wengi hawalipi, yaani eti wameshindwa kabisa kupata database ya watu wote wenye nyumba hapa nchini daaah...
 
TOZO YA MIAMALA na KODI YA MAJENGO.

Mwigulu Ayaone haya:

1. Wasamaria wema wamemuokota aliyegongwa na gari barabarani. Wakamkimbiza hospitali. Daktari anataka laki tatu kumtibu. Linaundwa group kuchangisha. Serikali inakata tozo badala ya kulipia matibabu ya raia wake!

2. Wawili wamependana. Wanatualika tule pilau ili waoane vizuri. Tunachangishana ili kuwapunguzia makali. Serikali inakata tozo badala ya kuwachangia ili waoane vizuri.

3. Mjaluo kafia Dar alikoenda kutoa mahari ya mke wa Saba. Sharti aziikwe Taarime. Tunachangishana kusafirisha. Serikali inakata tozo badala ya kuchangia ubani ili tulio msibani tule Kamongo.

4. Wakurya wamejifunza kutumia choo. Wameamua kujenga choo shuleni kwao. Wakatuma michango kupitia what's up. TOZO ya serikali iliyokatwanni sawa na tundu moja la choo. Hivi Serikali haijawazuia Wakurya kutumia choo ili waendelee kujisaidia vichakani?

5. Shule ya kata inalipia umeme kwa Luku, makanisa, misikiti, mortuary, vyoo vya umma,nk vinalipia umeme kupitia LUKU. Majengo haya yamesamehewa kulipa kodi ya majengo. Je kulipia kodi hii kupitia LUKU hakufuti misamaha hiyo?

6. Wazee wenye miaka 60 na zaidi walisamehewa kulipa kodi ya majengo. Kwa kutumia Luku kulipa kodi hii, msamaha wao umefutwa. Wanarejea kuwa vijana! Waliokuwa waajiriwa warudi kazini?!

7. Viwango vya tozo na kodi ya pango ni vikubwa. Miundo mbinu ya kampuni za simu imegharimu fedha nyingi sana na tayari wanalipa kodi na kutoa ajira. Watumiaji wa umeme vijijini wengi ni Maskini Sana wanaoishi kwa huruma ya TASAF isiyo rasmi. Wanahitaji kunyweshwa maziwa badala ya kukamuliwa.

8. Tumeulizwa tuna mapendekezo gani ya kuzipa pengo la bajeti endapo tozo zitafutwa? Kama mko tayari kusikiliza tutapendekeza. Wengi tunatamani serikali inayosikiliza kuliko inayodai kusikilizwa. TOZO ni mbaya na ni kubwa. Kodi ya pango kupitia LUKU ni kero na inazua maswali mengi. RUDINI mezani, punguza kusema, ongeza kusikiliza. Sikiliza wanaokosoa kuliko wanaopongeza.

Kifo cha mbwa huanza kwa kupoteza uwezo wa kunusa.

Askofu Bagonza
Based on one side of the coin
 
Mwigulu Nchemba is a total failure. Dr UCHWARA.

Sio kosa la Mwigulu mkuu...

Ni kosa la system nzima...wameamua kuingiza kodi ya jengo kupitia LUKu kwa sababu mfumo wa awali wa ukusanyaji kodi uliwashinda...

Tatizo linaanza kwenye ukosefu wa masterplans za ujenzi wa miji au kama hizo plans zipo basi utekelezaji haupo...

Yaani kama nchi tuna mipango mingi, lakini tuna mbinu hafifu za utekelezaji...
 
Back
Top Bottom