Askofu Bagonza awashukia wanahabari, awataka waache kuandika kwa mihemko

Askofu Bagonza awashukia wanahabari, awataka waache kuandika kwa mihemko

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Watunzi wa vitabu na waandishi wa habari wametaki wa kuandika uhalisia kwa kufanya utafiti.na uchunguzi wa kuto sha ili kupata ukweli wa mambo badala ya kuandika kwa mihemko, jazba na visasi hali itakayosababisha. walaji wasipate kile kilichokusudiwa.

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza alisema hayo jana baada ya kuzindua Kitabu cha 'I am the State' (Mimi ndiye dola) kilichoandikwa na mwanahabari Ansbert Ngurumo kwa kushirikiana na wanahabari wenzake; Absalom Kibanda, Nevile Meena na Jesse Kwayu.

Dk Bagonza aliyekuwa mgeni rasmi, alisema hata wasomaji wa kitabu hicho na kupingana na maudhui yake waje na hoja madhubuti zinazothibitika kinadharia na kivitendo ili kutoyumbisha ukweli uliofanyiwa kazi na watunzi wa kitabu hicho.


Aliwataka Watanzania kuanza kuandika vitabu vya maisha ya viongozi hata kama viongozi hao wameshaanza kuandika historia ya maisha yao wakati wakiwa madarakani ili mradi utafiti wa kutosha ufanyike ili viongozi hao wasionewe.​

"Watanzania hawakuchagua malaika, wanaweza kuandika historia ya matendo yao na kuongeza kuwa kunahitajika zijengwe taasisi imara zitakazowasimamia na kuwadhibiti viongozi ili wasitumie madaraka yao vibaya," alisema Askofu Bagonza
 
Hicho kitabu bei Gani na kinapatikana wapi?
 
Boganza mwenyewe ndio namba moja kuandika post yoyote kwa mihemko, naona anajirekebisha mwenyewe.
 
Watunzi wa vitabu na waandishi wa habari wametaki wa kuandika uhalisia kwa kufanya utafiti.na uchunguzi wa kuto sha ili kupata ukweli wa mambo badala ya kuandika kwa mihemko, jazba na visasi hali itakayosababisha. walaji wasipate kile kilichokusudiwa.

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza alisema hayo jana baada ya kuzindua Kitabu cha 'I am the State' (Mimi ndiye dola) kilichoandikwa na mwanahabari Ansbert Ngurumo kwa kushirikiana na wanahabari wenzake; Absalom Kibanda, Nevile Meena na Jesse Kwayu.

Dk Bagonza aliyekuwa mgeni rasmi, alisema hata wasomaji wa kitabu hicho na kupingana na maudhui yake waje na hoja madhubuti zinazothibitika kinadharia na kivitendo ili kutoyumbisha ukweli uliofanyiwa kazi na watunzi wa kitabu hicho.


Aliwataka Watanzania kuanza kuandika vitabu vya maisha ya viongozi hata kama viongozi hao wameshaanza kuandika historia ya maisha yao wakati wakiwa madarakani ili mradi utafiti wa kutosha ufanyike ili viongozi hao wasionewe.​

"Watanzania hawakuchagua malaika, wanaweza kuandika historia ya matendo yao na kuongeza kuwa kunahitajika zijengwe taasisi imara zitakazowasimamia na kuwadhibiti viongozi ili wasitumie madaraka yao vibaya," alisema Askofu Bagonza
Sahihi kabisa!

Watu wakiandika vitabu juu ya maisha na matendo ya viongozi wetu itawapa watawala angalau "hofu kidogo" kujua wanamulikwa na jicho la tatu.

Maana kwa ubovu wa katiba yetu ya sasa yafuatayo yanatutesa:-

1. Hakuna proper Check and Balance

2. No Vetting - hakuna chujio yaani hata mafisadi, wahuni na wendawazimu wanakuwa viongozi wa juu nchini.

3. Utawala mbovu (bad/poor Leadership).

4. Kutojali (Impunity)
 
Watunzi wa vitabu na waandishi wa habari wametaki wa kuandika uhalisia kwa kufanya utafiti.na uchunguzi wa kuto sha ili kupata ukweli wa mambo badala ya kuandika kwa mihemko, jazba na visasi hali itakayosababisha. walaji wasipate kile kilichokusudiwa.

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza alisema hayo jana baada ya kuzindua Kitabu cha 'I am the State' (Mimi ndiye dola) kilichoandikwa na mwanahabari Ansbert Ngurumo kwa kushirikiana na wanahabari wenzake; Absalom Kibanda, Nevile Meena na Jesse Kwayu.

Dk Bagonza aliyekuwa mgeni rasmi, alisema hata wasomaji wa kitabu hicho na kupingana na maudhui yake waje na hoja madhubuti zinazothibitika kinadharia na kivitendo ili kutoyumbisha ukweli uliofanyiwa kazi na watunzi wa kitabu hicho.


Aliwataka Watanzania kuanza kuandika vitabu vya maisha ya viongozi hata kama viongozi hao wameshaanza kuandika historia ya maisha yao wakati wakiwa madarakani ili mradi utafiti wa kutosha ufanyike ili viongozi hao wasionewe.​

"Watanzania hawakuchagua malaika, wanaweza kuandika historia ya matendo yao na kuongeza kuwa kunahitajika zijengwe taasisi imara zitakazowasimamia na kuwadhibiti viongozi ili wasitumie madaraka yao vibaya," alisema Askofu Bagonza
Huyu askofu kichefuchefu sana.
 
Watunzi wa vitabu na waandishi wa habari wametaki wa kuandika uhalisia kwa kufanya utafiti.na uchunguzi wa kuto sha ili kupata ukweli wa mambo badala ya kuandika kwa mihemko, jazba na visasi hali itakayosababisha. walaji wasipate kile kilichokusudiwa.

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza alisema hayo jana baada ya kuzindua Kitabu cha 'I am the State' (Mimi ndiye dola) kilichoandikwa na mwanahabari Ansbert Ngurumo kwa kushirikiana na wanahabari wenzake; Absalom Kibanda, Nevile Meena na Jesse Kwayu.

Dk Bagonza aliyekuwa mgeni rasmi, alisema hata wasomaji wa kitabu hicho na kupingana na maudhui yake waje na hoja madhubuti zinazothibitika kinadharia na kivitendo ili kutoyumbisha ukweli uliofanyiwa kazi na watunzi wa kitabu hicho.


Aliwataka Watanzania kuanza kuandika vitabu vya maisha ya viongozi hata kama viongozi hao wameshaanza kuandika historia ya maisha yao wakati wakiwa madarakani ili mradi utafiti wa kutosha ufanyike ili viongozi hao wasionewe.​

"Watanzania hawakuchagua malaika, wanaweza kuandika historia ya matendo yao na kuongeza kuwa kunahitajika zijengwe taasisi imara zitakazowasimamia na kuwadhibiti viongozi ili wasitumie madaraka yao vibaya," alisema Askofu Bagonza
Hicho ni kitabu cha kipumbavu kuwahi kuandika Tanzania na ndio maana hata waandishi na wazinduaji ni wapumbavi!
 
Back
Top Bottom