Askofu Bagonza: CAG vs TAKUKURU

Kama watakuwa na huo uthubutu🤝🤝🤝,ila naomba wakimaliza kwa wanasihasa nawaelekeza sehemu mbili ambazo wakiweza nitaanza kwenda msikitini maana watakuwa Ni wajumbe wenye mioyo iloyo shushwa.
Sehemu hizi mbili wengi wameenda kupagusa ila wakirudi hujui waliko pitia.
1.Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma,idara ya maji inajihusisha na wizi ama rushwa.
Kwa Kila mwananchi walipofunga bomba la maji ,maji yanatoka Mara mbili kwa wiki ila bili ya maji ikija Ni elfu 12000 kwa mwezi.
Hatujui pesa inayopelekwa idara ya maji na kwa Nini garama zao Ni kubwa kupindukia.

2.Kuna chama Cha walimu CWT sijui wanamahusiano gani na wakurugenzi nchini na maafsa utumishi Hadi hazina kitengo Cha mishahara.
Wanakata watu ambao hata sio wanachama wao,hii jeuri sijui wanajiamini Nini?.
Mtu anakatwa na chama kingine ila CWT wanaingilia na kukata tena hata mhusika hajajiunga na chama hicho wao wanakata tu.

Kama Kuna takukuru nchini kweli ivalie njuga haya mambo mawili,wengine tupo huku vijijini namna ya kuwafkia hao wakubwa Ni ngumu.

Wanajamvi,kuta mbili hizo Happ,wahusika ingieni kazini
 
Reactions: Pep
"Wengi wanasema ni siasa, mimi nasema maisha yetu na taifa letu yanaamuliwa na siasa. Kwa hiyo tukikubali kuwa katika siasa ni mahali pachafu, panapohitaji uadilifu, tuwe tayari kula uchafu maana jiko letu ni chafu" Dkt. Benson Bagonza, Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe
 
Mapambano dhidi ya rushwa hayatakiwi kuangalia rangi, dini, chama au dini ya mtuhumiwa.
Misingi ya mapambano ni lazima iwe haki na kweli kwa uwazi.
Hata hivyo, makundi ya kisiasa huwa hayana haki na ukweli bali maslahi ya kundi kwa gharama yoyote.
 
Bagonza na wenzake wajikite zaidi kuzungumzia mambo yanayoendana na malengo ya kuanzishwa kwa taasisi zao za dini na si vinginevyo.,
 
CAG na TAKUKURU

Watanzania wanapenda sana kushindanisha. Vijiwe vingi utakuja mijadala nani zaidi kati ya DC na DED, Waziri na RC, CAG na DG-PCCB, nk. Wanaweza hata kushindanisha hata visivyo na...

VIJIWENI hakuna mtu anabishana juu ya DED na DC na CAG na DG-PCCB

Vijiweni hatujui wala hatujali kujua DED ni nini wala DG-PCCB ni nani

Wewe Askofu unakaa kijiweni, kijiwe gani?

Kwanza hutakiwi kukaa kijiweni tangia hapo.
 
VIJIWENI hakuna mtu anabishana juu ya DED na DC na CAG na DG-PCCB

Vijiweni hatujui wala hatujali kujua DED ni nini wala DG-PCCB ni nani

Wewe Askofu unakaa kijiweni, kijiwe gani?

Kwanza hutakiwi kukaa kijiweni tangia hapo.
Aisee..
Shule zifunguliwe tu.
 
Bagonza na wenzake wajikite zaidi kuzungumzia mambo yanayoendana na malengo ya kuanzishwa kwa taasisi zao za dini na si vinginevyo.,
Mjinga wewe sio kila mtu ataona dhuluma atakaa kimya muuweni mtekeni basi Kama anawakera mnaipindisha Sheria viongozi wa chumia tumbo Kama mzee wa upako watakaa kimya ila wateule wa kweli wa bwana watasimama hata kufa.
 
Mjinga wewe sio kila mtu ataona dhuluma atakaa kimya muuweni mtekeni basi Kama anawakera mnaipindisha Sheria viongozi wa chumia tumbo Kama mzee wa upako watakaa kimya ila wateule wa kweli wa bwana watasimama hata kufa.
Hakika akili yako haina akili.
 
Hakika akili yako haina akili.
Mtekeni bagonza si anawakera ? Mnaipindisha Sheria kwasababu za uchaguzi katibu mkuu wenu aligundua madudu kibao ccm mbona hamkupeleka cag tena nyie ccm mnaiba hela za uma kwa nguvu ya dola leo mnaisumbua chadema tena kwa vihela vyao wanavyochangiana wenyewe. Toeni boriti kwenye macho ya CCM mtaona vibanzi kwenye macho ya chadema ila kwa mnayoyafanya Sasa mtafanya hata jwtz idharauliwe maaana hujo meja jenerali mnamtumia vibaya kupindisha Sheria kwasababu za uchaguzi Wana wanajua na huko MTAANI wanachi wanaelimishwa mipango yenu ovu.
 
Kojoa ulale bro
 
Aisee..
Shule zifunguliwe tu.

Ndio, na makanisa yafunguliwe na wewe urudi kuhudumu.

ASKOFU unakaa kijiweni kubishania DC na DED, teja gani la kijiweni linataka kusikia habari za Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya kumzidi nguvu Mkuu wa Wilaya?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…