Askofu Bagonza: CAG vs TAKUKURU

Bagonza na wenzake wajikite zaidi kuzungumzia mambo yanayoendana na malengo ya kuanzishwa kwa taasisi zao za dini na si vinginevyo.,
mbona ni kawaida viongozi wa dini kuingilia kati migogoro ya kisiasa
 
VIJIWENI hakuna mtu anabishana juu ya DED na DC na CAG na DG-PCCB

Vijiweni hatujui wala hatujali kujua DED ni nini wala DG-PCCB ni nani

Wewe Askofu unakaa kijiweni, kijiwe gani?

Kwanza hutakiwi kukaa kijiweni tangia hapo.
Kijiweni kwetu hiyo ndio agenda
 
Usinitishe we mangi
Haya sasa mzee wa kuongea ushuzi katika ubora wako nafikir message sent km cyo delivery
Kawaite tena wenzako USSR,Patriot na mje na kashfa yenu ya ukabila kaongea Bagonza sa hvi mara kada wa cdm,Toa tena na sifa nyngine ya baba Askofu...
 
[Madaraka huja kwa uteuzi na kuchaguliwa. Wakati mwingine tatizo si la anayeteua. Wateuliwa tuna kansa ya kujipendekeza na kujiongeza kuwadanganya waliotuteua"Dk Benson Bagonza
Huu msemo Ni w hekima Koko ya kibinadamu iliyojaa uongo wa kiaskofu

Labda niulize Askofu akiteua mtu au kamati hiyo mtu au kamati inawajibika kwa Nani?

Na huyo mtu anaanzaje kumdanganya Askofu aliyemteua?

Na je akimteua Hakuna terms of refference za kazi za huyo aliyemteua mpaka afanye kazi za kujipendekeza ambazo hazimo kwenye terms of refference za kazi zake?
Kujipendekeza Ni nini? Kama Askofu alete definition hapa
 
Kwa akili zako za kiccm lazima uwe na mtazamo huo..
Ndio maana katiba mpya inahitajika.
 
Walipenda nzi wa kijani waone chadema wanapata hati chafu. Hawo si mabw.egeeee.
Na kwa sieijii wa sasa lazima wapewe hati chafu ili kukamilisha mipango yao.
 
mbona ni kawaida viongozi wa dini kuingilia kati migogoro ya kisiasa
Kimsingi mnakosea kuandika title ya Bagonza kwenye issue za kisiasa, Askofu Bangoza anaongea sana mambo ya kisiasa kwa mafumbo kama Bagonza na sio hiko cheo cha uaskofu.
 
Sikatai ila mahaba ya Askofu boganza kwa Chadema yanafanya aogope hata kumkosoa Mbowe

Tunaambiwa Askofu boganza ni mshauri wa Chadema ila Kwanini anaogopa kumkosoa Mbowe
Za kuambiwa changanya na zako
 
Kijiweni kwetu hiyo ndio agenda

Hicho ni kijiwe cha Chato, Mbezi Beach na Masaki, wanakoishi the bourgeois class.

Vijiwe vingine vyote nchi nzima tunazumgumzia sukari imefichwa au serikali imebana bei elekezi, Corona imepita au tunaishi nayo, hela ya Mkuu kwenda TFF ilitoka Ikulu kweli au tumepigwa changa la macho, na pia hela aliyochangia kwaya kule kanisani Chato ni ya serikali au ya kwake binafsi na ana mfuko mrefu kiasi gani, kama alivyouliza Nyerere.

Hakuna maaskofu wala maimamu kijiweni kwetu maana kiswahili chetu hapa ni kichafu sana kwa maskio ya watiwa mikono, wala hatumuongelei na hatumjui Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya Stakishari Majumba Sita yupo, hayupo, ni nani, anafanya nini, kumzidi nini DC. We couldn't care less.
 
Naunga mkono hoja kiongozi !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umewahi Iona kadi Yake?
Huyu Askofu Bagonza na Niwermugizi Ni mabaki ya Lowasa yaliyobaki chadema Hawa hawakuwa wanasiasa kabla ila Lowasa alipoanza harakati zake Ni katika waliopewa maburungutu ya pesa za Lowasa wikuwa viongozi wengi wa dini waliolamba pesa za Lowasa wakaona siasa so ndio hii !!! Wakaacha madhabahu wakawa wanaimba pambo za Mabadiliko Lowasa,Lowasa mabadiliko!!! Badala ya kuimba pambio za Mungu

Wenzao wengi wameachana na Siasa na kurudi madhabahuni Hawa wawili Askofu Niwermugizi na Bagonza Bado wanaota hela za wanasiasa wa Chadema wakingoja kwa Subira kuwa iko siku zitakuja Tena kupitia chadema badala ya kumsubitia Yesu kuwa atakuja Tena duniani kuwachukua wateule wake
 
VIJIWENI hakuna mtu anabishana juu ya DED na DC na CAG na DG-PCCB

Vijiweni hatujui wala hatujali kujua DED ni nini wala DG-PCCB ni nani

Wewe Askofu unakaa kijiweni, kijiwe gani?

Kwanza hutakiwi kukaa kijiweni tangia hapo.
Unakuta eti mtu kama wewe unafamilia pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Pep
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…