Mbona Jiwe ni Mrundi. Nani asiyejua hilo? Naibu waziri wa kilimo ndugu Bashe ni wa nchi gani? Yule mwanaCCM aliyedakwa na Takukuru Tabora akitoa rushwa ni raia wa wapi? Mbona baraza la mawaziri ni mchanganyiko wa watu toka mataifa mbalimbali. Nani anabisha? Anayebisha atwambie Bashe ni wa taifa lipi?Huyu mzee ishu ya uraia inamnyima usongizi .bangoza ni mganda pure
Naunga mkono hoja. Kama yumo humu jukwaani naomba alichukue hili. Dear our learned Dr. Bagonza, start thinking of writing a book for heritage of the coming generation, Kindly consider this. Your potentials should remain even if God calls you. I am sure, when the day comes, you will be called by the almighty God read for rest after the job well done!Huyu Askofu aguswe aandike kitabu.. Ntakuwa wa kwanza kununua..
Ana falsafa nyingi saana
Ni hatari saana mtu kama huyu kuondoka bila kuacha maandishi kwenye kitabu
Kihava???Mbona Jiwe ni Mrundi. Nani asiyejua hilo? Naibu waziri wa kilimo ndugu Bashe ni wa nchi gani? Yule mwanaCCM aliyedakwa na Takukuru Tabora akitoa rushwa ni raia wa wapi? Mbona baraza la mawaziri ni mchanganyiko wa watu toka mataifa mbalimbali. Nani anabisha? Anayebisha atwambie Bashe ni wa taifa lipi?
Jinga lile. Eti upinzani utapukutika uchaguzi wa 2020! Sasa kama kiongozi wa dini anaombea wapinzani washindwe uchaguzi yeye na shetani wana tofauti gani? Eti huwezi kumkemea wala kumbishia mkuu wa nchi. Namuuliza swali: Mbona Yohana Mbatizaji alimkemea Herode kwa kumnyangánya ndugu yake mke? Japo ilimgharimu maisha kwa kukatwa shingo na kutenganisha kiwiliwiliyule Pasto fake wa River side ubungo ataisoma hii?
Mbona Jiwe ni Mrundi. Nani asiyejua hilo? Naibu waziri wa kilimo ndugu Bashe ni wa nchi gani? Yule mwanaCCM aliyedakwa na Takukuru Tabora akitoa rushwa ni raia wa wapi? Mbona baraza la mawaziri ni mchanganyiko wa watu toka mataifa mbalimbali. Nani anabisha? Anayebisha atwambie Bashe ni wa taifa lipi?
Nime kuja kugundua kitu kuna mahusiano makubwa sana kati ya CCM na ujinga, simtukani mtu ila huo ndio ukweli tujitahidi sana kuwapa ndugu zetu somo. madhara ya kukubali kumtegemea mtu kua kinga yako ndio hayo nilazima uwe kama zombie kila kitu unashabikia tuwasaidie wenzetu.Huyu mzee ishu ya uraia inamnyima usongizi .bangoza ni mganda pure
Kwani uchunguzi wa Takukuru ulizua ubadhirifu wowote,au bado wako kimya?.Bagonza tunajua ni kaada wa Chadema
Km Kweli anakipenda chama chake asimuogope Mbowe amwambie arudishe bilion 8
Hoja sio uraia bali maudhui ya hoja. Jibu hoja sio ilo. TUPAMBANE NA RUSHWA YA MADARAKA, KTK HILI MSAFI HAJAZALIWA- BagonzaHuyu mzee ishu ya uraia inamnyima usongizi .bangoza ni mganda pure
Yule Mrundi anaetupelekesha na wewe ukiwemo ana afadhali siyo?Huyu mzee ishu ya uraia inamnyima usongizi .bangoza ni mganda pure