LGE2024 Askofu Bagonza: Kuwanunua Binadamu kwenye Uchaguzi ni Chukizo kwa Mungu

LGE2024 Askofu Bagonza: Kuwanunua Binadamu kwenye Uchaguzi ni Chukizo kwa Mungu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Askofu Dr Bagonza amesema Padre Martin Luther alipigilia bango lenye Hoja 95 kwenye Lango Kuu la Kanisa pale Ujerumani na kuleta Matengenezo ya Kanisa

Padre Martin Luther akawa Mchungaji

Wokovu hauuzwi wala haununuliwi Msijidanganye wala Msidanganywe

Source: Upendo Tv

cc: Tundu Lisu, Luhaga Mpina

Nawatakia Dominica Njema 🌹
 
Askofu Dr Bagonza amesema Padre Martin Luther alipigilia bango lenye Hoja 95 kwenye Lango Kuu la Kanisa pale Ujerumani na kuleta Matengenezo ya Kanisa

Padre Martin Luther akawa Mchungaji

Wokovu hauuzwi wala haununuliwi Msijidanganye wala Msidanganywe

Source: Upendo Tv

cc: Tundu Lisu, Luhaga Mpina

Nawatakia Dominica Njema 🌹
Tusichanganye dini na siasa
Askofu Dkt. Bagonza ni Mtumishi wa Mungu ambaye anawahudumia binadamu (Watu).

Vox populi, Vox dei !
"Sauti ya Watu, ni Sauti ya Mungu" !
 
Askofu Dr Bagonza amesema Padre Martin Luther alipigilia bango lenye Hoja 95 kwenye Lango Kuu la Kanisa pale Ujerumani na kuleta Matengenezo ya Kanisa

Padre Martin Luther akawa Mchungaji

Wokovu hauuzwi wala haununuliwi Msijidanganye wala Msidanganywe

Source: Upendo Tv

cc: Tundu Lisu, Luhaga Mpina

Nawatakia Dominica Njema 🌹
Mbona kama vijembe jo?Toa ujumbe halisi ulivyo kutoka kwa mwasilishaji wote wauelewe vinginevyo kama na wewe haujauelewa achana nao.
 
Haiwezi kutofautisha dini na siasa, siasa inaitegemea sana dini,na dini unategemea sana siasa
 
Askofu Dr Bagonza amesema Padre Martin Luther alipigilia bango lenye Hoja 95 kwenye Lango Kuu la Kanisa pale Ujerumani na kuleta Matengenezo ya Kanisa

Padre Martin Luther akawa Mchungaji

Wokovu hauuzwi wala haununuliwi Msijidanganye wala Msidanganywe

Source: Upendo Tv

cc: Tundu Lisu, Luhaga Mpina

Nawatakia Dominica Njema 🌹
Askofu bagonza apewe mau yake
 
Back
Top Bottom