Askofu Bagonza: Kwa Hali ilivyo sasa Katiba na Rais wapo vitani

Askofu Bagonza: Kwa Hali ilivyo sasa Katiba na Rais wapo vitani

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
"Hoja ya katiba mpya pamoja na sababu nyingine nyingi, inalenga kupunguza au kuondoa mgongano wa hatari kati ya ukuu wa katiba na ukuu wa Rais. Kwa hali ilivyo, Rais na katiba wako vitani" Askofu Dkt. Benson Bagonza, Askofu Mkuu wa kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe.

1625510685906.png
 
Back
Top Bottom