Askofu Bagonza: Leadership is not about size, It's about knowledge and Wisdom

hii nummber 10 imenichekesaha sana aisee 🀣 🀣 🀣

10. Kuwaachia wabambikiwa kesi kisha ukawabambikia wengine ni sawa na kusimamisha saa ili kukomboa muda. Hiyo wanafanyaga Wajaluo ili kusaidia betri ya saa isiishe haraka!
Na mimi pia. Amewapiga watani zake kijembe. Ila huyu Askofu ni lulu ya Taifa. Ana busara na amestaarabika sana.
 

Kwamba?

"...... Hiyo wanafanyaga Wajaluo ili kusaidia betri ya saa isiishe haraka!"

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hiiiiii bagosha!
 
Huyu Askofu anafaa kuwa mkuu wa KKKT
Anafaa iwapo mojawapo ya vigezo vya kuwa Mkuu wa KKKT ni kuwa muwazi kupita kiasi na wengine kukuona ni tofauti na wenzako katika kuhoji ingawa pengine sio wajibu wako.
 
Askofu Kama Askofu. Jamaa namlinganisha na Nabii Daniel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…